Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 22 December 2012

Music Festival 2012:Banana Zorro & B Band!!!!!!



B Band chini ya kiongozi mmiliki Banana Zoro ikitoa burudani ya moja kwa moja kwenye Tamasha kubwa la muziki wa dansi Tanzania lililofanyika kwa siku mbili tarehe 28 na 29 Septembe ,2012 ambalo lilishirikisha bendi mbalimbali maarufu katika viwanja vya Leaders, Dar es Salaam.
B Band chini ya kiongozi mmiliki Banana Zoro ikitoa burudani ya moja kwa moja kwenye Tamasha kubwa la muziki wa dansi Tanzania lililofanyika kwa siku mbili tarehe 28 na 29 Septembe ,2012 ambalo lilishirikisha bendi mbalimbali maarufu katika viwanja vya Leaders, Dar es Salaam.
Bendi zilizoshiriki ni DDC Mliman Park 'Sikinde', Msondo Ngoma, B-Band ya Banana Zoro, Mashujaa, Akudo Impact, FM Academia na Wazee Sugu chini ya King Kikii 'Sugu'.

Zaidi usikose kutembelea;TheImageProfession

                 "Swahili NA Waswahili" Pamoja Sana.

No comments: