Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 25 September 2014

Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa


Photo Credits: UN Photo/Ryan Brown
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Kin Moon kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani. 
Hii ni hotuba yake, kwa hisani ya Umoja wa Mataifa


Sunday 21 September 2014

Tumalizie Jumapili hii Vyema;Burudani-Judy Jacobs - Days of Elijah (No God Like Jehovah) holy Ghost filled song,I will worship you(I exalt thee)......

Wapendwa;Tumalizie Vyema,Mungu azidi kuwatendea,Tusikate tama,Tuwe na tumaini,Tupendane na Tusaidie wenye kuhitaji......Mungu awe Mlinzi Wetu...

Aketie mahali pa siri pake Aliye juu, Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi....

Neno La Leo;Zaburi;91:1-16

2;Nitasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,Mungu wangu nitakayemtumaini.
3;Maana yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji,Na katika tauni iharibuyo.

4;Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio;Uaminifu wake ni ngao na kigao.


 


"Swahili Na Waswahili"Muwe Na Wakati Mwema.

USIKU WA DENIS B. MSAKI (NASIBU) NA SIAEL NDANI YA UKUMBI WA GREEN LEAF KIMARA KOROGWE


Kati kati ni Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki wakiwa na wasimamizi wao katika harusi yao takatifu iliyofungwa katika kanisa la Roman Katoliki parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar es salaam.
Maharusi Denis na Siael wakimtanguliza Mungu kabla ya kuanza kwa sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf Kimara Korogwe.
 
Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki siku ya jana ya tarehe 20/09/2014 ndio siku yao ambayo walikuwa wanaisubiri kwa muda mrefu baada ya kutimiza ndoto yao katika uchumba wao na kufunga ndoa takatifu katika kanisa la Roma parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar na baadae ikafuatiwa na sherehe ya nguvu iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf uliopo Kimara korogwe jijini Dar es salaam.
Sherehe hiyo iliongozwa na MC msanii maarufu wa maigizo Bwana Novatus Michael anayejulikana kwa jina la kisanii kama Nova

Sunday 14 September 2014

Worshiping YouGod is fighting for us, pushing back the darkness, - Deluge!!!!!!!


Wapendwa;Natumaini Jumapili hii inaendelea vyema,Iwe yenye Baraka,Amani,Upendo,Imani,Haki na Hekima.....

Kama vile Ibrahim alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki....

Neno La Leo;Wagalatia;3:1-29
Fahamu basi,Ya kuwa  wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu....








"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

Thursday 11 September 2014

Jikoni Leo;How to cookUgali[Tanzania/Kenya]Sadza[Zimbabwe]Nshima[Zambia/Malawi]Pap[SouthAfrica]Fufu [West Africa].......

Waungwana;"Jikoni Leo" ni Ugali kwa sisi Waswahili tunaita hivyo..kila watu wanajina lao...kikubwa mlo!!!!!!
Nafikiri ni chakula kinacholiwa na Wa-Afrika/sehemu kubwa Afrika.. kama siyo wote...wapo wale wasioupenda tuu lakini wanaujua..hata kwetu wapo.
Kuna wanaosema Ugali wa Ng'ambo hauivi vizuri,haunogi.....,pia kuna wanaosema Ugali wa majiko haya ya Umeme,gesi na....haunogi/hauivi vyema....Ugali mtamu na kuiva vyema ule wakupikia Kuni,Mkaa...



to cook sadza

Mbira JunctionMbira Junction
Thanks

Pia watoto wengi wanaoishi Ng'ambo hawapendi Ugali..Sababu ni nini?

Je watoto wako wanapenda Ugali?


Pia watu wengine wanaoshi Ng'ambo wanapika Ugali mwingi na kuweka kwenye Fridge/ Freezer..ili akihitaji anapasha tuu..vipi hii wewe unaweza?

Ugali unamboga zake....
Ugali unaupishi wake...usiwe na mabuja,vidongevidonge...

Lakini kila kitu kisizidi,kikizidi hakinogi..basi si kila siku Ugali.

Asante;Tanzania na da'

 


Zimbabwe;Thanks


Tahanks;
AfricaCookingChannel

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Mitindo Afrika;Asili Ya Kanga

 



Shukrani;qtvkenya
"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Monday 1 September 2014

Jikoni Leo na Mswahili;Da'Stella Adhiambo-Harris-Chicken Kebabs (Mishkaki ya kuku). Potato Bhajia (Gluten-free)



This style of chicken kabobs is popular in Kenya and Tanzania,where it is known by it's Swahili name,"Mishkaki ya kuku", which loosely translates to skewered chicken. These are tender, juicy,delicious and aromatic! They can be eaten as an appetizer or served on a bed of any rice dish as a meal. These are always a hit at my home whenever we have friends over for a barbecue. So feel free to impress your company at your next barbecue or tailgating party with these kebabs.This is a make-ahead dish, but the finished product will make it look like you slaved in the kitchen for hours ;)

SERVING SIZE:

This recipe feeds 4. It can be doubled depending on the size of the group you are feeding.

SPECIAL EQUIPMENT:

-Bamboo or metal skewers. If using bamboo skewers, completely submerge in water and soak for at least 3 hours (This will ensure that whatever part of the skewer is exposed to the heat does not burn).
-Grill brush or pastry brush to brush oil onto the kebabs as they cook.

***You will need to marinate your chicken before skewering and cooking it. The marination needs to take place for a minimum of three hours for the chicken to tenderize and take in the flavors of the spices. For best results,marinate overnight.***


INGREDIENTS:

-1 1/2 Lbs boneless, skinless chicken breast (cut into bite-size cubes).
-3 tablespoons plain, full-fat yogurt (I use Dannon).
-1 teaspoon ginger paste.
-1 teaspoon garlic paste.
-1 teaspoon red chili that has been pureed in a blender. I used 1/2 of a habanero pepper, that I seeded and mashed into a paste to cut down on the heat. (Note: If you leave the seeds in the pepper, the food will be very hot. So only leave it in if you like your food very hot).
-1 teaspoon corriander powder.
-1 teaspoon cumin powder.
-1 teaspoon ground cinnamon.
-1/2 teaspoon cayenne pepper (if you like your food hot,you can use 1 teaspoon).
-1/2 teaspoon of salt ( I use Kosher salt).
-2 tablespoons of fresh lemon juice.
-2 tablespoons of pure vegetable oil (I use Canola).

FOR GARNISHING:

-1 cubed red bell pepper.
-1 cubed green bell pepper.
-1 onion, cubed.

 

A bhajia is a very popular East African snack that has it's origins in India. It is a kind of fritter, with several variants. In India, they are called, "bhaji". In Kenya, they are usually served with a cold refreshing drink. I would in fact dare say that an ice-cold Coca-Cola and a bhajia are a match made in flavor heaven! This recipe consists of thinly sliced potatoes incorporated into a thick batter made from rice and gram flour (chickpea flour), spices and herbs, then fried until golden. They may be served with a side of salad and slice of lemon, with mango chutney or tamarind dipping sauce.

 Thanks/Shukrani;Da'Stella Adhiambo-Harris..!!!!!!
   Kuona na kujifunza zaidi mfuate huku;Stella Adhiambo-Harris   na http://www.stellasmeza.blogspot.co.uk/

"Swahili Na Waswahili"Pamoja sana.