Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Friday 31 October 2014

Wazo La Leo; Na Mswahili-Emu-three Wa Diary Yangu.....


WAZO LA LEO: Sio kila jambo la heri laweza kirahisi tu, kuna mambo mengine huja na mitihani yake, lakini mwisho wake huwa ni neema, na furaha kama utakuwa mvumilivu na kusimamia kwenye haki.Halikadhalika mambo ya ubaya, yana mvuto wake, usipokuwa makini unaweza kuzama kwenye giza nene, na mwisho wa ubaya ni kudhalilika, na kuumbuka, na kawaida majuto huja baadaye, kama utafanikiwa kujinasua. Tujitahidi sana kuwa makini katika matendo yetu, tusivutike tu kwa tamaa, tuangalie uzuri na ubaya wake kwanza.

kwa Hadithi/Visa/Mikasa ya Maisha,Usikose pitia hapa;http://miram3.blogspot.co.uk/

Dunia Yangu ndiyo hadithi/kisa kinachoendelea sasa....[Sehemu Ya 56]

Twende Pamoja..!!!!

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Wednesday 29 October 2014

Jikoni Leo;Sheikha Agili-How to Make Swahili Biriyani..!!!!!!

Waungwana;"Jikoni Leo" na Sheikha Agili,Jinsi ya Kupika Swahili Biriyani..
Mimi nimpenzi wa mapishi ya bi Sheikha..


Nawe kama mpenzi wa Mapishi/Mpishi unaweza kutushirikisha mapishi yako...nasi tukajifunza kupitia wewe....Mlango upo wazi karibu sana.Haya tujifunze kupika biriyani....
Twende pamoja na bi'Sheikha...
.

Shukrani;Sheikha Agil

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Monday 27 October 2014

Mswahili Wetu Leo;Da'Zahabu Luciannne -Tabia Ya Bibi mbele ya Bwana[Haya Wamama wa Ng'ambo kazi kwenu]..

Waungwana; Mswahili wetu Leo...da'Zahabu Lucianne...
Haya Wamama wa Ng'ambo kwanini Hamuwaheshi ma Bwana?
 Mnasugulishaga ma Bwana masaani,Kutwa mpo kwa Facebook na Musimu......
Muache kuita ma Bwana majinaa eeh Bwana yako eehh.........


Twende pamoja na da'Zahabu...





Shukrani;Augmanify

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Sunday 26 October 2014

Wapendwa muendelee na Jumapili Vyema;Burudani-Pole wana Congo Uamusho,Wasiwasi mjini, Choir CBCA Bugabo/ Bukavu, RD-CONGO,



Wapendwa;Nawatakia Jumapili Njema yenye ,Amani,Busara,Hekima na Kupendana Kindugu..
Neno La Leo;Warumi:13:1-14

Kupendana kindugu
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza sheria.9Maana, amri hizi: “Usizini; Usiue; Usitamani;” na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.” 10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.
11Zaidi ya hayo, nyinyi mnajua tumo katika wakati gani: Sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu uko karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini.12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga.13Na tuishi kwa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana, na wala sio kwa ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. 14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.



"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

Wednesday 22 October 2014

Jikoni Leo;MAman Nicole loboko cuisine congolise tilapia na mayebo..!!!


Waungwana;"Jikoni Leo" Tupo Congo kwa Mamaa Nicole.
Mengi sina tujifunze Mapishi tuu..kama Lugha gongana/inasumbua, samahani kwa hilo twende pamoja kwa kufuatilia vitendo..Tutapata kitu tuu.










Shukrani;matsombe Samba

"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima

Monday 20 October 2014

Kutoka Sauti Ya Mwanamke;Mke wangu HAFANYI KAZI !!!



Mazungumzo kati ya Mume (M) na mwanasaikolojia (S)
S: Unafanya kazi gani Bw. Bandy?
M: Nafanya kazi kama mtunza fedha benki.
S: Mkeo je?
M: Mke wangu hafanyi kazi, yeye ni mama wa nyumbani tu.
S: Nani anaandaa chai wakati wa asubuhi?
M: Mke wangu anaandaa sababu hafanyi kazi.
S: Mkeo anaamka saa ngapi kuandaa chai?
M: Anaamka mida ya saa 11 asubuhi, anasafisha nyumba kwanza, halafu ndo anatengeneza chai.
S: Watoto wako wanaendaje shule?
M: Mke wangu anawapeleka shule sababu hafanyi kazi.
S: Baada ya kuwapeleka watoto shule, anafanya kazi gani?
M: Akiwaacha shule anaenda sokoni, halafu anaenda nyumbani kupika na kufua, kama unavyofahamu hafanyi kazi.
S: Ukirudi nyumbani jioni kutoka ofisini unafanya nini?
M: Huwa napumzika maana nakuwa nimechoshwa sana na kazi za siku nzima.
S: Wakati huo mkeo huwa anafanya nini?
M: Anakuwa anaandaa chakula cha jioni, anawalisha watoto, ananiandalia chakula, anaosha vyombo, anahakikisha nyumba ni safi halafu anawapeleka watoto kulala.
Kutokana na mazungumzo hayo hapo juu, nani kati ya hawa unadhani anafanya kazi nyingi zaidi?
---
Kazi za kila siku anazofanya mke kuanzia asubuhi hadi usiku sana zinaitwa ‘Mke wangu hafanyi kazi’??
Kuwa mama wa nyumbani hakuhitaji cheti wala cheo, lakini nafasi yake ni muhimu sana katika maisha ya kila siku.
Ni vyema na busara kila mmoja akaheshimu nafasi ya mwenzie katika kuchangia mahitaji ya kila siku.

Share, Like, Comment, tuwasikie na marafiki zako.
Zaidi;https://www.facebook.com/SautiYaMwanamke?fref=nf

Sunday 12 October 2014

Nawatakia JumaPili Njema;Burudani-HALELUYA By HemanChoir[Rwanda],NZAMBENA NGUYA byFranck Mulaja[Congo] Na....



Wapendwa;Nawatakia jumapili Njema,Yenye Baraka,Amani,Upendo,Hekima,Kweli na Upole kiasi....


1 Naye Yehoshafati mwanawe alitawala mahali pa baba yake Asa, akajiimarisha dhidi ya Israeli.......

  Neno La Leo;2 Mambo ya Nyakati 17:1-19
 2 Aliweka majeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome, na katika maeneo mengine ya Yuda, na katika miji ya Efraimu ambayo Asa baba yake aliiteka akaweka askari walinzi. 3 Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alifuata njia za awali za baba yake, na wala hakumwabudu Baali.4 Yeye alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzitii amri zake, wala hakufuata matendo ya watu wa Israeli. 5 Mwenyezi-Mungu, aliuimarisha ufalme wa Yuda mikononi mwa Yehoshafati, nao watu wote wakamletea zawadi, akatajirika sana na kuheshimika. 





"Swahili NA Waswahili" Mbarikiwe Sana.

Saturday 11 October 2014

[AUDIO]: DAKIKA 90 ZA DUNIA. Kumalizika kwa mkutano wa DICOTA 2014


Baraza la waTanzania waishio nchini Marekani (DICOTA) limemaliza mkutano wake wa mwaka Jumapili ya Oktoba 5 jijini Durham jimbo la North Carolina ambao kwa wengi waliohudhuria, wameonyeshwa kuridhishwa nao.
Mwenzangu Mubelwa Bandio, anayo taarifa kamili.




Hii ni sehemu ya ripoti za Kwanza Production kwenye kipindi cha DAKIKA 90 ZA DUNIA kinachorushwa na kituo cha Radio cha Capital FM cha Dar Es Salaam Tanzania kila Jumamosi kuanzia saa moja na nusu asubuhi (7:30 AM).
Hii ilikuwa ripoti ya Oktoba 11, 2014

Monday 6 October 2014

Jikoni Leo na Mswahili; Kaluhi Adagala-Kaluhi's Kitchen


Hey Everyone! My name is Kaluhi Adagala and I am the lady behind this blog, Kaluhi’s Kitchen. I am a finance major graduate, cartoon lover, fashion enthusiast  but most importantly, I love to cook and to experiment with my food.
In the past, when I wanted to cook something new and exciting I  naturally  researched on the internet on what to make. However, I found that I either couldn’t get the ingredients here in Kenya, or the process described was too complex for a simple lady like myself or the food recipe was not as exciting.  This led me to become creative and in the process, came up with delicious dishes. Therefore when I was making this blog , I sought to solve those three problems I had previously encountered ; by  using locally available ingredients, making my recipes as simple as possible, and to make the food unique, tantalizing and appetizing. Kaluhi’s Kitchen is a Kenyan food blog, for the everyday Kenyan.
I see food not only as a means of sustaining ourselves but also as a creative medium. I use food to paint and to play. To bring joy to those around. To inspire and to create. It is my hope that through this blog, I shall be able to inspire you to make something exciting and alittle bit different to make your eating and cooking  experience thrilling.
More about me:
I am obsessed with: Kids, Sunset, The Script and all things girly
I really enjoy: Sleeping, Laughing, Long walks, Intellectual Conversations
Currently Inspired by: Amazing Interiors, Antiques, Vibrant Color
My favorite place in the whole world: Maragoli, Western Kenya.
It truly is an honor  to share this journey with you!
xo
I can be reached anytime using this email address: kaluhiskitchen@gmail.com.
We can also stay intouch on facebook via Kaluhi’s Kitchen or on twitter- @Kaluhi’s_Kitchen
Curry and Coconut Cream Githeri



Githeri is a bean and maize casserole of sorts and it is served throughout Kenya. It is a very popular meal because it is healthy and also because it makes it easy to include all food groups in one meal. In my country, this is one meal that all boarding schools have in common. Before I joined boarding school, I would hear tales from my elder sisters, Cheredi and Sieva, about how hard the maize in their school githeri was. I quietly thought to myself that it really couldn’t be THAT hard! That was until my first Wednesday evening when our supper was githeri. The maize was indeed hard, and for the first time, that hot January evening, I really missed home food. But I put on my big girl pants and had my meal, appreciating the fact that at least I had something to put in my tummy that day.
The githeri I made today has the softest maize though. Traditionally, it is made with only onions and tomatoes, however my twist on this Kenyan delicacy is adding the richness of coconut cream & curry powder, and using cumin and mustard seeds, whose oils play up the githeri flavor. This is the best githeri you will ever have without doubt!

CURRY AND COCONUT cream githeri

Spice and Crunch Tender Chicken Wings

Kenyans are fast getting affiliated to fast food. With the opening of global giant KFC in our country a while back, city dwellers have gone crazy over their fried chicken because it offered something slightly different to what we were used to. However when you feel like you want some chicken that’s tender on the inside but crunchy on the outside, you do not have to go out and get some. You can make it at home and the best part about it is, you can add more delectable ingredients to tantalize your taste buds!

You are going to go wild with my Spice & Crunch Tender Chicken Wings!




To get chicken that is tender and has flavor of its own minus the crust, marinating it is a must. Marination is simply soaking your meat in a combination of ingredients to intensify the flavor, make it more tender and to remove that icky raw-meat smell. There are thousands of marinades out there but most common marinade for crunchy chicken is to soak the kuku in buttermilk. Because buttermilk is not a readily available Kenyan ingredient, the best substitute would be Mala because they have the same consistency,leavening power and mildly sour taste. I believe when you lack an ingredient for a recipe from a foreign country, all you need is a little bit of creativity and you will see that you can work with what you have. Other equivalents/substitutes of buttermilk would be inkomazi from South Africa and Kefir from eastern Europe.

So lets make some chicken!

For the marinade

You will need

Your Chicken wings
500 ml of mala
Dried Thyme
Fresh (or dried) Rosemary
8 Cloves of Garlic
1 Tea spoon of Turmeric
1 Table spoon of ground ginger
1 Table spoon of ground mustard
1 Table spoon of pilau masala




I got my chicken wings from City Market and 14 of them cost 500 shillings (Approx. $6). I don’t know about you but that is quite cheap because buying 14 wings from a fast food outlet would cost so much more. And for me, any time I save cash, that’s a plus!

For the marination, you simply need to put all the ingredients in a bowl/sufuria and mix together. I started with the herbs, then the ground spices. You don’t need any order, I just like doing it that way.




Mix everything up, cover it and let it rest.



The chicken will start swelling and taking in the mixture. The lactic acid in the mala breaks down the flesh that’s why it becomes really tender while the spices infuse a great aroma and layers upon layers of yumminess.The longer you let it rest, the more more the potent the taste of the marinade will be in the chicken. I let mine rest for 24 hours.

Homestretch: Making the chicken

After the chicken has marinated, pout the entire contents of the bowl into a sufuria and boil them. Do not add any additional liquid into the chicken as it will dilute the marinade. This is a tip I got from my mother, and because mum always knows best, I work according to her wisdom. Boil them for about 40 minutes before the coating process starts. Most Kenyan households boil their meat before preparing but if you do not fancy this, you can skip this step all together.

This is what you will need for the final stage:



I choose not to quantify the spices in the final stage to allow you to play around with them and vary them according to your taste. If you like more heat use a lot of black pepper, and maybe add some chilli. If you like a more aromatic taste, add more cumin. As you go along, you can modify my recipe and come up with something that suits your taste. I highly encourage that! Dance to the beat of your own palate!

Mix the ground spices with the flour until its even through out. That will be used for the crust and because there are different spices in it, that crust will be mind blowing. We use more mala to dip the wings in and allow the flour to stick and not come off while frying.

The green pepper will be layered between the chicken and the crust to add more flavor and texture.



Then roll the wings in the flour, making sure to cover every spot.
I found this so fun to do, despite being very messy, but to get the best out of anything, you gotta get down and dirty,no? But I also enjoyed this because it reminded me of how my friends and I used to bake ‘cookies’ out of soil and water and serve them to our dolls when we were little girls. Great mess, but great fun!!





Once you are done, deep fry these over high heat 2 minutes on each side or until you get a lovely golden color. If your chicken wasn’t boiled, you will need 8 minutes in each side so that the interior cooks too.



Look at how delicious they look!!!!

Imagine yourself biting slowly into this chicken like in those advertisements. Ever single layer will give your tongue something to be happy about. This is the kind of dish that engages all of the five senses,making the eating experience whole and enjoyable.


Spice nad Cruch chicken wings give you varied texture, explosive flavor and are very simple to make too.
Thinking about how delightful it was sinking my teeth into these babies makes me so hungry right now! You will feel the crispiness of the crust first, then the crunch of the peppers then the tenderness of the beautifully marinated chicken. The taste of how all the spices used compliment each other is beyond words! If that is not a bite you are looking forward to, then you are on the wrong planet!


Zaidi;http://www.kaluhiskitchen.com/


Sunday 5 October 2014

Tumalizie JumaPili hii kwa Amani;Burudani-Waswahili wakisifu kwenye Mkutano wa MWL.C.Mwakasege.[COVENTRY]


Wapendwa;Natumaini Jumapili Ilikuwa/Inaendelea vyema,muwe na Amani,Baraka,Upendo,Furaha,Shukrani na Utukufu Tumrudishie MUNGU.....
Basi kwa mtini jifunzeni mfano;tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani,mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
Neno La Leo:Mathayo Mtakatifu:24:32-51
33;Nanyi kadhalika,myaonapo hayo yote,tambueni ya kuwa yu karibu,milangoni.
34;Amin, nawaambia,kizazi hiki hakitapita,hata hayo yote yatakapotimia.
35;Mbingu na nchi zitapita;lakini maneno yangu hayata pita kamwe.


 


"Swahili Na Waswahili"Mbarikiwe Sana.

Wednesday 1 October 2014

Mahojiano na waandaaji wa SWAHILI FESTIVAL Marekani

Patric Kajale. Mmoja wa waandaaji wa Tamasha hilo.

PHOTO CREDITS DMK Blog 
Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio na waandaaji wa SWAHILI FESTIVAL iliyofanyika Sept 21 jijini Bladensburg, jimbo la Maryland nchini Marekani
Karibu


Mahojiano na Dr Patrick Nhigula. Mgombea u-Rais wa DICOTA

Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio wa Kwanza Production na Dr Patrick Nhighula, mgombea wa nafasi ya uRais wa DICOTA 2014. Mbali na kuielezea DICOTA yenyewe, pia ameeleza nia yake kugombea nafasi hiyo
Karibu umsikilize