Wazazi/Walezi wa Marekani Wakiwafundisha Watoto wao Jinsi ya Kupika na Tamaduni za Kwao.
Pia da'Mariam naye Hayuko Nyuma kuonyesha/Kuwafunza watu wengine Jinsi "East Africa" wapikavyo.
Hapa nimeona Wasomali wanajitahidi kuwafundisha kupika watoto wa kike tuu,Sijui watoto wa kiume kwao Hawapiki?au bado wanamambo yaleee mtoto wakike "LAKE JIKO".
Waungwana Mmejifunza nini kwa haya ya Wenzetu Wasomali?
Karibuni sana kwa Maoni,Ushauri na Kuelimishana kwa Upendo.
Pamoja sana."Swahili na Waswahili."