Saturday 19 May 2012
Friday 18 May 2012
MTANZANIA DR ENGINEER SHABAN KACHUA ATUNUKIWA RASMI SHAHADA YAKE YA UDAKTARI WA FALSAFA NCHINI CANADA.
Dr Engineer Shaban Kachua mwenye joho lenye rangi nyekundu na Bluu akiwa na waafrika wenzake wakati wa alipotunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa falsafa Nchini Canada.
Hapa Dr Kachua akiwa amekaa mstari wa mbele kabisa na wahitimu wenzake.
Mama Mzazi wa Dr Kachua (mwenye blauzi nyeusi), akiwa na Mama mkwe wake, wote kwa pamoja walishiriki katika tukio la kihistoria la kutunukiwa Shahada ya PHD kwa mtoto wao nchini Canada.
Mrs Dr Shaban Kachua (Jemima) akiwa na furaha pamoja na watoto wao walishiriki katika shughuli ya kutunukiwa Mume wake shahada ya udaktari wa Falsafa (PHD).
Kwa sasa Dr Shaban Kachua anaishi Nchini Canada pamoja na familia yake. Sisi kama watanzania wenzake tunapenda kumpongeza sana kwa kuweza kuipeperusha vema Bendera yetu, tunapenda kumshauri pia, elimu yake hiyo aweze kuitumia pia kulisaidia Taifa lake la Tanzania hasa katika nyanja hiyo ya Sayansi, kwa kutambua zaidi tuna upungufu mkubwa wa wanasayansi katika Taifa letu.
HONGERA SANA
Asanteni sana KapingaZ http://kapingaz.blogspot.co.uk/
Asanteni sana KapingaZ http://kapingaz.blogspot.co.uk/
Thursday 17 May 2012
Wednesday 16 May 2012
Mswahili;SAM MACHOZI - MY ANGEL.{OFFICIAL VIDEO}
Hii ni yenu.....!! ni video yangu ya kwanza kama sam machozi nigependa
sana saport zenu wa TZ ili niweze kuipeleka bendera yetu mbele
kimataifa zaidi tuamini kama tunaweza na tutaweza mungu yupo na sisi
milele amine... ni sam machozi`TO ALL MY BEAUTIFUL PEOPLE...!
Hayo ni Maneno yake kaka Sam Machozi.
Pamoja sana Waungwana!!! Swahili na Waswahili.
Hayo ni Maneno yake kaka Sam Machozi.
Pamoja sana Waungwana!!! Swahili na Waswahili.
Tuesday 15 May 2012
Siku kama ya Leo da'Masika na Bw'Jamal,Waliungana na Kuwa Mke na Mume. Burudani: Nitadumu nae!!!!
Nakuvisha/kuvalisha Pete[Pingu] hii..............
Bwana Jamal James Umekubali..............
Mke mkeo kaka J .J
Mama Masika katikati, Hongera mama.
Mwenyewe da'Masika, Raha jipe Mwenyewe!!!
Mwenye Bw'J.J.Mwakitalu.
Shughuli Watu na Watu Walikuwepo.
Tunawatakia kila lililo jema katika Maisha yenu,Mungu azidi kuwabariki na Ndoa hii Idumu!!!!
Kama una lolote unataka kushiriki nasi, tuma kupitia Email.rasca@hotmail.co.uk
Pamoja sana Waungwana.
Bwana Jamal James Umekubali..............
Mke mkeo kaka J .J
Mama Masika katikati, Hongera mama.
Mwenyewe da'Masika, Raha jipe Mwenyewe!!!
Mwenye Bw'J.J.Mwakitalu.
Shughuli Watu na Watu Walikuwepo.
BIBI na BWANA MWAKITALU. Na Wamejaaliwa kupata Watoto Wawili. |
Kama una lolote unataka kushiriki nasi, tuma kupitia Email.rasca@hotmail.co.uk
Pamoja sana Waungwana.
Monday 14 May 2012
Wanawake na Urembo;Ya kale ni Dhahabu!!!Burudani-Rangi ya Chungwa,Pamelah!!
Mrembo wa enzi hizooooo |
Nipe siri ya urembo huu |
Waungwa Leo nimewaletea Mrembo wa zamani kidogo,lakini mimi kwangu bado wananibamba sana.
Angalia hajajichubua,Hana makoroooombwezo meengi,Shedo za kuwaaakaa,Jee Hajapendeza?
Na sasa naona kama vimitindo tindo vya zamani vinarudi, Sijui kukosa ubunifu, Ya metushinda au kukumbukia Enzi?
Huyu yeye hakuweka dawa Nywele wala kusuka,Lakini wapo pia wazamani waliokuwa wakisuka,Nywele za Uzi,Rafya,Jicho la mke wenza,Kilimanjaro, walibana Mchicha, waliweka Zazuuu, wali roli , Waliweka Kan'ta, Walifunga Vilemba na..... duuuh nimengi nao Walikuwemo sana tuu.
Jee kunachochote cha Mitindo ya Zamani wewe bado Unapenda au Kukumbuka? na nini Kimekugusa/Kuvuti, kwa huyu Mrembo?
Unapicha za BABA/MAMA za Wakati huo wakiwa Vijana na Unapenda Tujifunze Mitindi yao?
Usiwe na Tabu Unaweza kututumia Kupitia email.rasca@hotmail.co.uk
Karibuni sana Waungwa!!!!!
Sunday 13 May 2012
Nawatakia J'Pili Njema na Hongera kina MAMA!!Burudani; mwaitege-mama ni mama.Bahati-Mapito!!!
Da'Rehema na Mwanawe Chance |
Wifi'Rehema na Mwanawe Farid.
Kila lenye Kheri,Baraka,Upendo,Uvumilivu,Utuwema,Umoja,Huruma na REHEMA!!!
Wengine tulisha Sheherekea, lakini si Mbaya tukiungana Nanyi tena.
Leo da'REHEMA na wifi REHEMA ndiyo wanaotuwakilisha SWAHILI na WASWAHILI.katika Siku ya MAMA.
3;REHEMA na kweli zisifarakane nawe.6;Katika njia zako zote mkiri yeye,Naye atakuonyesha MAPITO yako.
Neno la Leo;Mithali:3;1-7
Subscribe to:
Posts (Atom)