Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 15 September 2018

VItabu Mahiri Vya Kiswahili











Mwandishi nguli wa Kiswahili - Mohammed S Mohammed- aliwahi kupata tuzo mbalimbali na kuzawadiwa na Mwalimu Nyerere (1970) na Kenyatta (1973).
Ingawa alichapisha vitabu vitatu tu Mohammed S Mohammed yumo ndani ya kundi la wanafasihi majabali - Shaaban Robert,  Adam Shafi, Said Ahmed Mohammed, Euphrase Kezilahabi, nk.
Baada ya zaidi ya miaka 40 vitabu vyake vipya vimetolewa upya na shirika la uchapishaji vitabu Nairobi,  Sasa Sema
Vitabu hivi ni Kiu, Nyota ya Rehema na Kicheko cha Ushindi ...
Tungependa kufahamu yu wapi?

Kwa Simu Toka London- Na Freddy Macha



No comments: