Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 25 June 2012

Da'Rahifah Jamaldin Atimiza Mwaka Mmoja!!!!!!!!!

Mwenyewe  da'Rahifah!!
Akitafakari aanzie wapi kuikata keki!!!
Dada na Kakazz, Wapambe muhimu
Hehehheeh!!! kweli kulea kazi, kaka mtu Bob Malikh yupo bithe kumtengeneza dada yake
Baharia Malikh ..Leo lazima kitakaa hiki, kinanichezea mie ?Dada naye katulia mpaka macho kafumba,utafanyaje na kaka kasema?Hahahahah watu wa Ilala mbona mtakatwa mitama mkimsogelea huyu binti,Chezeya wewe Mchezaji wa kulipwa wa BOMU..............

Baba na mwana,Pole da'Sulhiya[mama mtoto] yeye alikuwa mpiga picha siku hiyo,hatukupata picha yake.
Wakisikiliza Nasaha kutoka  kwa Wazazi  hahahaha
                                                         Dada Rahifah, Akiwashukuru Wazazi,Ndugu, Jamaa na Marafiki.


Da'Rahifah Tunakutakia kila lililojema,Baraka, Amani,Upendo na Makuzi mema.Uwe Baraka kwa Wazazi na Watu wote.
Hongereni sana Bibi na Bwana Jamal.M.Jamaldin[Minanasi].Kwakukuza, Mungu awape Hekima na Maarifa katika Malezi Yenu.


Swali la kizushi;Waungwana kuna aliye na picha za kutimiza mwaka  1-5?.
Au wewe Wazazi wako Hawakuweka Kumbukumbu,Hawakuwa na Tamaduni hizi za mambo ya siku kuu yako ya kuzaliwa?


"Swahili NA Waswahili" Karibuni Wooote!!!!!!

9 comments:

Yasinta Ngonyani said...

hONGERA DADA RAHIFAH!!

sulhiya(mama mtoto) said...

Wifi ahsante nimeona picture,chezeyaaa swahili na waswahili weweeee.

Goodman Manyanya Phiri said...

Hongera sana, LITTLE GIRL!

Ahmad Minnanasi said...

Asanteni kwakumtakia kilaheli my Little Girl kwa kutimiza mwaka wake wa kwanza....Ahamad AKA {Minnanasi} Babake Dada asante kuwek picha kwenye web yako lovely..

emuthree said...

HONGERA, hongera Hafidhal, sasa tunajiandaa kutoa shikamoo za nguvu kwa baba na mama yako, .....

Mija Shija Sayi said...

Rachel sijui kama umeiona keki, mbona yenyewe hujaiongelea kwa mapana???? Hujaifanyia uungwana kabisa kwa kweli...

Hongera Da'Ratifah kwa mwaka wako wa kwanza.

Mungu akubariki.

amad said...

Asanteni kwa kumtakia kila heli my Little Girl kwa kutimiza mwaka wake wa kwanza....Ahamad AKA {Minnanasi} Babake Dada asante kuweka picha kwenye web yako lovely..

Rachel Siwa said...

Da'Yasinta na kaka Matanje pamoja sana!

Wifi wa mimi karibu sana mpenzi wangu, hahahha hakunaga kama Swahili!!!!

'Kaka Ahmad chako changu na changu chako kaka yangu mpendwa.

'Emu wa 3 hahahaah utakatwa Mitama na Bob nahizo shimoo zako.

Dada Mkuu'Mija kweli sikuitendea haki keki jamani kunawatu wabunifu, sijui ni mchanganyiko wa nini yaani inaonekana ni tamu haswa.

Minnanasi said...

Jamani hile kike imepambwa yale ya juu maembe.....chezeaaa..ilikuwa tamuje.