Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Chaguo la Mswahili. Show all posts
Showing posts with label Chaguo la Mswahili. Show all posts

Saturday 27 April 2013

Chaguo La Mswahili Leo;Boyz II Men - On Bended Knee,I Swear,Mama na Nyingine!!!!!!!


Waungwana; Chaguo La Mswahili Leo..Mambo ya.. Boyz 2 Men.... Thank you in Advance, On Bended Knee, A song for MAMA ..................... na Nyinginee....
Mhhh palikuwa hapatoshi...Vipi wewe kuna lolote unakumbuka ukisikia/kuangalia nyimbo hizi...Wapi na Nini?

  "Swahili Na Waswahili"  Zilipendwa/Zinapendwa...J'Mosi Njema.

Saturday 13 April 2013

Chaguo La Mswahili Leo;Joto Hasira - Lady Jay Dee ft Proffesor Jay New na Nyingine Nyingii!!!!!!!

Mhhh ...hili Joto Hasira..Upepo hakuna....Naruka Mwenyee..nasioni maana ya sisi kuzinguana..kila mtu anajua sana..

Mhhh sikiliza mwenyeweee...Muungwana

Usiusemee Moyo wa Mwenziwako ooohhh.
Mmhh pole  kwa Wanawake wote wanaopitia haya.....
Mhhh...Wameanza tenaaa  oohhh ...Hadithhhh  hadithiiii njoo utamu koleaaa..wanok..nok..
Njoo tu dance njoo dance...

Mhhh......jay Dee mwisho...mmhhh..
Machoni kama watu Moyoni...hawana Utu.Imani imetoweka mabaya yanaongezekaaa..
Mhhhhh..usimpe nafasi.......

Endelea kuburudika na kwenye nyimbo kuna mengi ya kujifunza pia..
Huyu dada mimi huwa ananikosha/napenda sana Nyimbo zake na hata baadhi alizoshiriki..
Huwa sizichoki hata za zamani..nikipata muda nazipitia za Zamaniiiii...
Vipi wewe Muungwana JIDE Anakubamba/kupenda?Katika hizi za Leo ipi imekugusa?

Endelea kuburudika.......

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima

Saturday 2 March 2013

Chaguo La Mswahili Leo-Wenge Musica BCBG - Djodjo Ngonda na Nyingine Nyingii!!!!

Nani alikuambia Afrika si Wabunifu?




Waungwana maneno meengi sinaaa..Mmmhhhh...Kitambo kidogo..walikugusa/Kuwapenda?Jee Bado wapo Juu? Nini /Wapi unakumbuka ukisikiliza Nyimbo hizi?..

Mimi ninawakumbuka watu wengi saana wengine wapo Hai na wengine washatangulia[Kufa].Wengine ninamawasiliano nao Wengine hata sijui wako wapi...Yote ni Maisha.......
Twende Sote sasaaa.......


"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Saturday 2 February 2013

Chaguo La Mswahili Leo;Mchanganyiko-BOZI BOZIANA,Franco&Sam Mangwana,Madilu...Mmmhh..Mooto!!!!!




Waungwana;Chaguo La Mswahili Leo..Mhhhhh...motoo.mambo mchanganyiko.ya Kitambo kidogo....

Vipi hizi zinakukumbusha nini/wapi?.Zina kubamba/kuzipenda? Au hukupata kuzisikia?...

Twende sote sasaa.....Balobakiee..na Imalobato lembiyeeeh........kusemasema walisema tumechokaaa..Muongo na mulozi ni watu wa kuchomaaaah.......
Kujulikana kumbetabu mwana mbokaaa... Ukiwa shantii  kama Mushedo wanashangaaaa....ukitembea peke yako wanasema wewe ndiyo mbayaaaa....Kujulikana kuna mamboooo....Lwambo wetu Franco wandugu eeehhhh.......

Rafiki yake ananiaeeehh...wewe Mangwana ee...usiwafuate endelea jamani eehh...Ukipata Tabu omba kwa MUNGU eeeehhh Alafu MUNGU pekee  yeye Milele na Milele eeehhh........

Wewe na mimi kisa gani ayaahh Ndugu nimekosea nini Angalia  Makambooo eee....kama kuna mambo unielezee Taratibuuu eeehh kukorofisha mbele ya watu sitakieeeeehh sikia eeeeehhh.........

"Swahili NA Waswahili"Pamoja sana.

Saturday 19 January 2013

Chaguo La Mswahili Leo:Mambo ya Pwani;AT - Bi Harusi,Mzee Yussuf-Na hiili Kaseme,Offside Trick-Aambiwe na Nyingine nyingiii!

w

Waungwana;Chaguo la Mswahili Leo ni Mambo ya Mduara/Taarab..... Ralaralaaaaaa...lalalaaaahhhh..Mmmhh ....mimi sina Mengi kama wewe unayo Funguka /Ongea tuu.

Swali la Kizushi;-Eti nyimbo za Taarab/Mduara nyingi zinauchochezi,Ushari,Vidongo na Umbea ......Haswa sa siku hizi.Za Zamani nyingi zilikuwa Kimapenzi Zaidi......Unasemaje Muungwana?

         "Swahili NA Waswahili" Twende Soteeee sasa.


Saturday 12 January 2013

Chaguo la Mswahili Leo;Kutoka kwa Mdau -Image Profession;Burudani-Question:J.Kassam Ft. Ivan!!!!!!

 Mwimbo mwingine wa mwanamuziki chipukizi Juma Kassam akisindikizwa na Ivan ,anakuja kivingine 

akiuliza swali"Question",ni zaidi ya ubunifu.


Muelekeo mpya zaidi ya vile tulivyozoea ya nyimbo zenye ujumbe wa mapenzi.





"Swahili NA Waswahili" Pamoja Sana.

Saturday 5 January 2013

Chaguo La Mswahili Leo;DDC Mlimani Park - Neema,Sauda na Nyingine Nyingiiiii!!!!!

Waungwana;"Chaguo La Mswahili Leo" ni "Wana wa Sikinde Ngoma Ya Ukaye".Maneno Meengii yanapunguza Uhondo na kujua Uhondo wa Ngoma Ingia Uchezeeee!!!!
Waungwana kama zimekugusa/kuzipenda usikonde unaweza kutuambia Wimbo upi umekugusa na kwasababu ipi/Unakumbukia nini?

"Swahili NA Waswahili"
Twende Sotee......Mv. Mapenzi Meli ya Wapendanao Moyo kama Bahari Manahodha mimi na wewe,x2.......Duniani kuna Mengi sawasawa na Bahariiii Kuna Papa na Nyangumi Tena wale wa Hatariii.......
Mmhhhhh Sauti....?? Ngoja Niendelee na Chumvi..Lakini naweza pata SAFURA Bure Chumba cha kipaji cha Uimbaji Sikuingizwaaaaaa!!!!!!!!! Hahhahahaaaa..

Pamoja Sana Waungwana.

Saturday 8 December 2012

Chaguo La Mswahili Leo;African swagger - Alpha Featuring Rah P,No Maney.Twende Kazi,Nipo Poa.....Kazi Muruwaa za Waswahili!!!!!!!


Waungwana;"Chaguo La Mswahili Leo" Mmmmhhhh Motooo Afrika Mashariki Na Kati.....

Wewe tuu utuambie Video ipi imekubamba/kuipenda? Kwa nini? 

Karibu sana....Swagger Swagger Swagger...........

"Swahili NA Waswahili" Motooooooooo.

Saturday 10 November 2012

Chaguo La Mswahili Leo;Jagwa Music - Mwana wa Kitwana,Kichwa cha Nyoka na Lady jaydee kitu Mtarimbo!!!!!

Waungwana;"Chaguo la Mswahili Leo" Mambo ya Mnanda/Mchiriku na hii ya JIDE sijui niiteje Chakacha au........Naomba mnisaidie.

 Sina Meengi saana.Kama Umeguswa au unalolote unalokumbuka jimwage tuu.....


Twende Soote sasa. Ilala salamu zao...Migomigo salamu zao Temeke wasalimieeee  oohh...
Mmmhh huu Mnanda ukipigwa kigogo watu Ilala hamlali.. 

 "Swahili NA Waswahili" Sereeeeebukaa. 

Saturday 20 October 2012

Chaguo La Mswahili Leo,Mdumange,Chiwoda,Sindimba,Wamasai na Wagogo.Kiasili Zaidi!!!!!

Waungwana;"Chaguo La Mswahili "Leo kinyumbani/Kiasili Zaidi.
Haya twende sote sasa,Lakini wewe unajua kucheza Ngoma za Asili au Unajua Ndombolo tuu?
Unafikiri ipi Ngoma Nzuri zaidi ya Zote Tanzania?
Ngoma ya kwenu Inaitwaje?
Utamaduni Tanzania unaendelea au Unakufa?...

Mtu Kwao Ungana Nami........"Swahili NA Waswahili" Mkataa  Kwao Mtumwa!!!!!!

Saturday 13 October 2012

Chaguo La Mswahili Leo;Mbilia Bel - Nadina.Mario na Franco na Nyingine Nyingiiii!!!!!


Waungwana;Chaguo La Mswahili Leo""Mambo Ya zamani Kidogo.
 Nakusikiliza wapi unakumbuka na nini kilikuwa kinavaliwa wakati huo? Scania,Mwanameka, Raizoniii,Fundi Nimwagie,Soroo, Vishati Vyembamba na Ulipiga Picha za Studio wewe? hahahah umeshika kiuno kwenye Maua!!!!

Twende Sote sasa ,Mario na Lelieeeehhh Mhhh.....

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Saturday 6 October 2012

Chaguo La Mswahilli Leo;Lady Issa-Dunia inamambo na nyingineee.. Anasaidiwa Na Nguza Viking;Ni wewe Pekee!!!!!

Waungwana;"Chaguo La Mswahili Leo"Mambo hayo ya Zilipendwa..Unakumbuka Nyimbo hizi ?Ulikuwa  wapi na Umri Gani weee..Uliziimba na kuongezea maneno yako pale usipoelewa?Bado Zinakubamba/Kuzipenda?Enzi hizo Ulikuwa Unavaajeeee? Kama si Mwaka Wa Watoto Viatu Kutoka BORA au MORO Shuzzzzz..
Kaka Yangu Chacha o'Wambura ananiambia ukisikiliza nyimbo hizi Unajiona KIJEBA...Hahaah.......

Twende Sote  sasa Jua Maisha ni  Mulima eee, Kuna Kupanda na kushuka eee...Bali Kuteleza si kwanguka eee Mtoto wa Mama....Mmmmhhh ngoja niendelee kunywa Mayai Mabichi!!

"Swahili NA Waswahili" Karibu Wooote!!!!

Saturday 29 September 2012

Chaguo La Mswahili Leo;Mchanganyoo-Chaka Demus & Pliers,Shabba ranks na Shaggy!!!!!






Waungwana;
"Chaguo la Mswahili Leo" 

Maneno si Meeengi ,jee wewe ulicheza nyimbo hizi, basi hata kuzisikia?Jee kuna lolote unakumbuka kupitia Mchanganyo wa Leo au Nyimbo moja kati ya hizo?
Tuelezeeee.

Karibu kwa Yoote..Twende Soote sasa....Aaaaaa aaaaaahhh aaahhhh... Mhhhh Sauti imegoma.......kaaaziii kwelikweli ngoja niendelee na Chumvi.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja sana

Saturday 15 September 2012

Chaguo La Mswahili Leo;Dully Sykes : Lady Jaydee,Banana Zoro na Papii Kocha!!!!!!


Mabibi wa [doti com] Kileo na Mambo Yao!!!!!!Mama Erik/Kadala.Ndugu wa mimi na Waungwana woote, hapo vipi? bibi katupiaaa.........Mabibi wa leo hawataki,Sangula,Vanga,Mganda,Lizombe,Mbeta, Mdumange. Nao wanaungana na mangoma ya sasa. Vipi ndiyo maendeleo au?
Waungwana; "Chaguo La Mswahili Leo"ni mambo Mchanganyiko.
Hunifahamu sikufahamu iweje leo unipakazie!!!........mambo ya Dully....Banana nae na mambo ya oohh oohh Nzela mwanamama!!!
mmhh ngoja nikanywe Maziwa kwanza...

Waungwana  sina Meengi Twende sotee sasa, kuna lolote unalo lakuongezea,kukumbuka katika nyimbo za Leo?Tuhabarishe/tuelezee!!!!!

"Swahili NA Waswahili" PamojaDaima.

Saturday 25 August 2012

Chaguo La Mswahili Leo;Bob Rudala,Ali Kiba,,2berry,20 Percent!!!!!!!

Waungwana "Chaguo La Mswahili Leo" ni Kina Kaka hao wakilalamika juu ya Mapenzi.
Kwa Mtazamo wangu naona kama Tanzania[bongo]Nyimbo nyingi zinazungumzia Mapenzi.Jee ndizo Zinawapenzi wengi,Rahisi Kutunga na Kuimba,Au...?

Mpenzi mimi sina Mengi Zaidi ni kutoka kwako.
Karibuni sana Kwa Maoni,Ushauri na Kuelimishana kwa Upendo.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Saturday 18 August 2012

Chaguo la Mswahili Leo; Q chief-Si Ulinikataa,Ninachokipata,Wiper,Namtafuta Kule alipoooo!!!!!

Waungwana "Chaguo LA Mswahili Leo"Leo ni Mswahili Q CHIEf.
Vipi Nyimbo zake zinakubamba/unazipenda?Jee kunakitu unakumbuka kupitia Nyimbo hizi?

Twende soote sasa..Kosa langu kosa langu ni lipi baba? ulinikana Tangu tumboni, Ulimkana mama yanguu...Si ulinizaa wewe Ukanikataa sasa iweje unaona mi Nafaaaaaaaa.... Endeleaa...

Jee vipi kama mtoto alikataliwa na BABA Yake ni Vyema nae MtotoKumtosa/kumkataa baba au...Jee Ingekuwa Wewe Ungefanyaje?.
"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Saturday 11 August 2012

Chaguo la Mswahili Leo;[Mambo ya Pwani]Top in Town -Khadija Koppa,Omar Koppa;Nifagilieni na Kitchen Party!!!


Malkia wa Mipasho,Khadija Koppa.

Waungwana;
 "Chaguo la Mswahili Leo"Mambo ya Pwani,Taarab/Rusha Roho!!Mmmmhh lakini usitoe Roho.Sina Maneno Meeengi Sikiliza mwenye mambo yao.
Mnasema ToT Kimeo Mbona Mnachezaaa?Pisha Njia pisha Njiaaa....Tarararar eehh Tararaa Wacha weeeeh...tehthetheteh

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Saturday 4 August 2012

Chaguo la Mswahili Leo;Extra musica,Bisso Na Bisoo,Loi na Koffi,Gaou!!!!!!

Waungwana "Chaguo la Mswahili Leo" Twende sote sasa Bisso Na Bisso,Gaou na nyingine....
.
Kunakitu unakumbuka? Pamoja sana....

 Tiririririii Extra Musicaaaa, hyeeeeeeee!!!
Shamukwale  yako pesa mbongooooo.....Chivunduuuu!!!hahahaha
"Swahili NA Waswahili" Ah ah ah ah ah ah ahhhhhh  eeeeeeeeeeh!!


Saturday 28 July 2012

Chaguo la Mswahili Leo; Kagera Mpoo? NgojaTatuNane Wawasaidie!!!!!

Waungwana "CHAGU LA MSWAHILI LEO" ngoja niwapeleke Kagera,
 wanakwambia Mapenzi Kizunguzungu...Nshomileeeeee........

Sina Mengi leo Uwanja wako.
 Unalolote kuhusu Burudani ya Leo?
 Jimwage sasa.

mimi siimbi Natifuka tuu Twende Sote sasa............."Swahili NA Waswahili"!!!!!!! Pamoja Daima.



Saturday 21 July 2012

Chaguo la Mswahili Leo;Marijani Raajab - Salama,Mwajuma,Mwanameka-DDC na kitu cha-Hiba!!!

DJ Wa Swahili NA Waswahili Leo!!

Waungwana "CHAGUO LA MSWAHILI LEO"
 Turudi nyuma kidoogo Tuangalie/Tusikilize Bendi zetu , jee unaonaje Bendi hizi?
 Zinaklukumbusha nini na jee Zinakubamba/Unazipenda?
 Vipi Bendi za kileo na za zamani Tofauti iko wapi?

 Na jee zasasa wanafanya vyema zaidi kwa sababu ya usasa au wanakwenda Kinyume?

Twende sote sasa....... oohh mwajuma pesa hupatikana kwatabu...oohh mwajuma pesa hupatikana kwa shidaaaaa...Bwana Mashakaaaa wachakulalamika oohh kama amekushinda mrudishe kwaooo.......

Mhhhhh  ngoja niishie hapa na Chumvi nimeacha nisije pata Safura bure!!!!!!

"Swahili NA Waswahili" Pamoja sana.