Waungwana Nimatumaini yangu woote Wazima.
Haya "Chaguo la Mswahili Leo" ni da'Judith[Lady Jayeed]
Vipi mwenzangu kuhusu dada huyu Amekipatia/Kujulia Kipaji chake?
Mimi huwa namkubali sana tuu kwa Muziki /Nyimbo zake.
Pia dada huyu anahusika na JIKONI, kwa hapo mimi siwezi semakitu kwani Sijawahi kufika"NYUMBANI LOUNGE" Na sijawahi Kuonja Mkono wake[Mapishi yake].
Lakini nasikia ni Moto wa kuotea Mbali.
Jee unalolote unaweza kutuambia kuhusu kazi za dada huyu?
wewe anakubamba/unapenda kazi zake?.
Ngoja Tusikie kutoka kwako tusimalize Uhondo.
"Swahili NA Waswahili" Twende Sotee sasa... Natamanii kuwa Malaikaaa natamakuwa kuwa mtotoooo kohkohkoh Kibanda[Kipaji] hiki cha Kuimba mwenzangu mmhhh hahahha nimekumbuka Nyumbani nikiimba watu woote walala chini kwa kicheko haahahah Oiiiiiiiiiiiiiii
ok nimekumbuka ngoja nilambe "chumvi" nitarudi tena