Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Sunday 28 July 2013

Natumai J'Pili inaendelea Vyema;Mbarikiwe Wote-Burudani-Shout To The Lord, na nyingine!!


                     Ni kwa Neema ya MUNGU tuu....

Wapendwa Nawatakia J'pili yenye,Rehema,Neema,Fadhili,Shukrani,Hekima,Upendo,Furaha,Baraka,Umoja,Uvumilivu,Tumaini na Upole Kiasi.
Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika,ni heri mwanaume asimguse mwanamke.
Neno La Leo;1.Wakorintho:7:117; [10]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza;wala hapo si mimi,ila BWANA; mke asiachane na mumewe;[11]Lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena  mume asimwache mkewe..............

"Swahili NA Waswahili" Tunawapenda Wote.








No comments: