Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 20 July 2013

Chaguo La Mswahili Leo;Marlaw, anakwambia -Bembeleza,Pii pii!!!!!






Waungwana; Natumaini wote wazima na Mnaendelea vyema na mambo yenu,vipi hali ya hewa huko mlipo?
 Hapa tulipo  leo jua linawaka vizuri...ni Raha na tuweza kunyoosha miguu/kutembea tembea na mambo mengine meengi ya nje yanawezekana.
Mnaofunga ndoa Leo tunawatakia Maisha mema  yenye Furaha,Amani,Upendo,Uvumilivu na mshikamano.Mnaotafuta Wachumba/wenza na mliokuwa kwenye maandalizi Mungu awasimamie.

Chaguo La Mswahili Leo Tumsikilize/angalie Marlaw.. mimi napenda  nyimbo zake hizi vipi wewe?
Maneno Mengi sina wewe pata Burudani na uwe na J'mosi njema.

"Swahili Na Waswahili" Pamoja sana.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Hata mimi napenda sana nyimbo zake. Nawe jumamosi njema.