Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Sunday 26 October 2014

Wapendwa muendelee na Jumapili Vyema;Burudani-Pole wana Congo Uamusho,Wasiwasi mjini, Choir CBCA Bugabo/ Bukavu, RD-CONGO,



Wapendwa;Nawatakia Jumapili Njema yenye ,Amani,Busara,Hekima na Kupendana Kindugu..
Neno La Leo;Warumi:13:1-14

Kupendana kindugu
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza sheria.9Maana, amri hizi: “Usizini; Usiue; Usitamani;” na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.” 10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.
11Zaidi ya hayo, nyinyi mnajua tumo katika wakati gani: Sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu uko karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini.12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga.13Na tuishi kwa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana, na wala sio kwa ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. 14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.



"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

Wednesday 22 October 2014

Jikoni Leo;MAman Nicole loboko cuisine congolise tilapia na mayebo..!!!


Waungwana;"Jikoni Leo" Tupo Congo kwa Mamaa Nicole.
Mengi sina tujifunze Mapishi tuu..kama Lugha gongana/inasumbua, samahani kwa hilo twende pamoja kwa kufuatilia vitendo..Tutapata kitu tuu.










Shukrani;matsombe Samba

"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima

Monday 20 October 2014

Kutoka Sauti Ya Mwanamke;Mke wangu HAFANYI KAZI !!!



Mazungumzo kati ya Mume (M) na mwanasaikolojia (S)
S: Unafanya kazi gani Bw. Bandy?
M: Nafanya kazi kama mtunza fedha benki.
S: Mkeo je?
M: Mke wangu hafanyi kazi, yeye ni mama wa nyumbani tu.
S: Nani anaandaa chai wakati wa asubuhi?
M: Mke wangu anaandaa sababu hafanyi kazi.
S: Mkeo anaamka saa ngapi kuandaa chai?
M: Anaamka mida ya saa 11 asubuhi, anasafisha nyumba kwanza, halafu ndo anatengeneza chai.
S: Watoto wako wanaendaje shule?
M: Mke wangu anawapeleka shule sababu hafanyi kazi.
S: Baada ya kuwapeleka watoto shule, anafanya kazi gani?
M: Akiwaacha shule anaenda sokoni, halafu anaenda nyumbani kupika na kufua, kama unavyofahamu hafanyi kazi.
S: Ukirudi nyumbani jioni kutoka ofisini unafanya nini?
M: Huwa napumzika maana nakuwa nimechoshwa sana na kazi za siku nzima.
S: Wakati huo mkeo huwa anafanya nini?
M: Anakuwa anaandaa chakula cha jioni, anawalisha watoto, ananiandalia chakula, anaosha vyombo, anahakikisha nyumba ni safi halafu anawapeleka watoto kulala.
Kutokana na mazungumzo hayo hapo juu, nani kati ya hawa unadhani anafanya kazi nyingi zaidi?
---
Kazi za kila siku anazofanya mke kuanzia asubuhi hadi usiku sana zinaitwa ‘Mke wangu hafanyi kazi’??
Kuwa mama wa nyumbani hakuhitaji cheti wala cheo, lakini nafasi yake ni muhimu sana katika maisha ya kila siku.
Ni vyema na busara kila mmoja akaheshimu nafasi ya mwenzie katika kuchangia mahitaji ya kila siku.

Share, Like, Comment, tuwasikie na marafiki zako.
Zaidi;https://www.facebook.com/SautiYaMwanamke?fref=nf

Sunday 12 October 2014

Nawatakia JumaPili Njema;Burudani-HALELUYA By HemanChoir[Rwanda],NZAMBENA NGUYA byFranck Mulaja[Congo] Na....



Wapendwa;Nawatakia jumapili Njema,Yenye Baraka,Amani,Upendo,Hekima,Kweli na Upole kiasi....


1 Naye Yehoshafati mwanawe alitawala mahali pa baba yake Asa, akajiimarisha dhidi ya Israeli.......

  Neno La Leo;2 Mambo ya Nyakati 17:1-19
 2 Aliweka majeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome, na katika maeneo mengine ya Yuda, na katika miji ya Efraimu ambayo Asa baba yake aliiteka akaweka askari walinzi. 3 Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alifuata njia za awali za baba yake, na wala hakumwabudu Baali.4 Yeye alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzitii amri zake, wala hakufuata matendo ya watu wa Israeli. 5 Mwenyezi-Mungu, aliuimarisha ufalme wa Yuda mikononi mwa Yehoshafati, nao watu wote wakamletea zawadi, akatajirika sana na kuheshimika. 





"Swahili NA Waswahili" Mbarikiwe Sana.

Saturday 11 October 2014

[AUDIO]: DAKIKA 90 ZA DUNIA. Kumalizika kwa mkutano wa DICOTA 2014


Baraza la waTanzania waishio nchini Marekani (DICOTA) limemaliza mkutano wake wa mwaka Jumapili ya Oktoba 5 jijini Durham jimbo la North Carolina ambao kwa wengi waliohudhuria, wameonyeshwa kuridhishwa nao.
Mwenzangu Mubelwa Bandio, anayo taarifa kamili.




Hii ni sehemu ya ripoti za Kwanza Production kwenye kipindi cha DAKIKA 90 ZA DUNIA kinachorushwa na kituo cha Radio cha Capital FM cha Dar Es Salaam Tanzania kila Jumamosi kuanzia saa moja na nusu asubuhi (7:30 AM).
Hii ilikuwa ripoti ya Oktoba 11, 2014

Monday 6 October 2014

Jikoni Leo na Mswahili; Kaluhi Adagala-Kaluhi's Kitchen


Hey Everyone! My name is Kaluhi Adagala and I am the lady behind this blog, Kaluhi’s Kitchen. I am a finance major graduate, cartoon lover, fashion enthusiast  but most importantly, I love to cook and to experiment with my food.
In the past, when I wanted to cook something new and exciting I  naturally  researched on the internet on what to make. However, I found that I either couldn’t get the ingredients here in Kenya, or the process described was too complex for a simple lady like myself or the food recipe was not as exciting.  This led me to become creative and in the process, came up with delicious dishes. Therefore when I was making this blog , I sought to solve those three problems I had previously encountered ; by  using locally available ingredients, making my recipes as simple as possible, and to make the food unique, tantalizing and appetizing. Kaluhi’s Kitchen is a Kenyan food blog, for the everyday Kenyan.
I see food not only as a means of sustaining ourselves but also as a creative medium. I use food to paint and to play. To bring joy to those around. To inspire and to create. It is my hope that through this blog, I shall be able to inspire you to make something exciting and alittle bit different to make your eating and cooking  experience thrilling.
More about me:
I am obsessed with: Kids, Sunset, The Script and all things girly
I really enjoy: Sleeping, Laughing, Long walks, Intellectual Conversations
Currently Inspired by: Amazing Interiors, Antiques, Vibrant Color
My favorite place in the whole world: Maragoli, Western Kenya.
It truly is an honor  to share this journey with you!
xo
I can be reached anytime using this email address: kaluhiskitchen@gmail.com.
We can also stay intouch on facebook via Kaluhi’s Kitchen or on twitter- @Kaluhi’s_Kitchen
Curry and Coconut Cream Githeri



Githeri is a bean and maize casserole of sorts and it is served throughout Kenya. It is a very popular meal because it is healthy and also because it makes it easy to include all food groups in one meal. In my country, this is one meal that all boarding schools have in common. Before I joined boarding school, I would hear tales from my elder sisters, Cheredi and Sieva, about how hard the maize in their school githeri was. I quietly thought to myself that it really couldn’t be THAT hard! That was until my first Wednesday evening when our supper was githeri. The maize was indeed hard, and for the first time, that hot January evening, I really missed home food. But I put on my big girl pants and had my meal, appreciating the fact that at least I had something to put in my tummy that day.
The githeri I made today has the softest maize though. Traditionally, it is made with only onions and tomatoes, however my twist on this Kenyan delicacy is adding the richness of coconut cream & curry powder, and using cumin and mustard seeds, whose oils play up the githeri flavor. This is the best githeri you will ever have without doubt!

CURRY AND COCONUT cream githeri

Spice and Crunch Tender Chicken Wings

Kenyans are fast getting affiliated to fast food. With the opening of global giant KFC in our country a while back, city dwellers have gone crazy over their fried chicken because it offered something slightly different to what we were used to. However when you feel like you want some chicken that’s tender on the inside but crunchy on the outside, you do not have to go out and get some. You can make it at home and the best part about it is, you can add more delectable ingredients to tantalize your taste buds!

You are going to go wild with my Spice & Crunch Tender Chicken Wings!




To get chicken that is tender and has flavor of its own minus the crust, marinating it is a must. Marination is simply soaking your meat in a combination of ingredients to intensify the flavor, make it more tender and to remove that icky raw-meat smell. There are thousands of marinades out there but most common marinade for crunchy chicken is to soak the kuku in buttermilk. Because buttermilk is not a readily available Kenyan ingredient, the best substitute would be Mala because they have the same consistency,leavening power and mildly sour taste. I believe when you lack an ingredient for a recipe from a foreign country, all you need is a little bit of creativity and you will see that you can work with what you have. Other equivalents/substitutes of buttermilk would be inkomazi from South Africa and Kefir from eastern Europe.

So lets make some chicken!

For the marinade

You will need

Your Chicken wings
500 ml of mala
Dried Thyme
Fresh (or dried) Rosemary
8 Cloves of Garlic
1 Tea spoon of Turmeric
1 Table spoon of ground ginger
1 Table spoon of ground mustard
1 Table spoon of pilau masala




I got my chicken wings from City Market and 14 of them cost 500 shillings (Approx. $6). I don’t know about you but that is quite cheap because buying 14 wings from a fast food outlet would cost so much more. And for me, any time I save cash, that’s a plus!

For the marination, you simply need to put all the ingredients in a bowl/sufuria and mix together. I started with the herbs, then the ground spices. You don’t need any order, I just like doing it that way.




Mix everything up, cover it and let it rest.



The chicken will start swelling and taking in the mixture. The lactic acid in the mala breaks down the flesh that’s why it becomes really tender while the spices infuse a great aroma and layers upon layers of yumminess.The longer you let it rest, the more more the potent the taste of the marinade will be in the chicken. I let mine rest for 24 hours.

Homestretch: Making the chicken

After the chicken has marinated, pout the entire contents of the bowl into a sufuria and boil them. Do not add any additional liquid into the chicken as it will dilute the marinade. This is a tip I got from my mother, and because mum always knows best, I work according to her wisdom. Boil them for about 40 minutes before the coating process starts. Most Kenyan households boil their meat before preparing but if you do not fancy this, you can skip this step all together.

This is what you will need for the final stage:



I choose not to quantify the spices in the final stage to allow you to play around with them and vary them according to your taste. If you like more heat use a lot of black pepper, and maybe add some chilli. If you like a more aromatic taste, add more cumin. As you go along, you can modify my recipe and come up with something that suits your taste. I highly encourage that! Dance to the beat of your own palate!

Mix the ground spices with the flour until its even through out. That will be used for the crust and because there are different spices in it, that crust will be mind blowing. We use more mala to dip the wings in and allow the flour to stick and not come off while frying.

The green pepper will be layered between the chicken and the crust to add more flavor and texture.



Then roll the wings in the flour, making sure to cover every spot.
I found this so fun to do, despite being very messy, but to get the best out of anything, you gotta get down and dirty,no? But I also enjoyed this because it reminded me of how my friends and I used to bake ‘cookies’ out of soil and water and serve them to our dolls when we were little girls. Great mess, but great fun!!





Once you are done, deep fry these over high heat 2 minutes on each side or until you get a lovely golden color. If your chicken wasn’t boiled, you will need 8 minutes in each side so that the interior cooks too.



Look at how delicious they look!!!!

Imagine yourself biting slowly into this chicken like in those advertisements. Ever single layer will give your tongue something to be happy about. This is the kind of dish that engages all of the five senses,making the eating experience whole and enjoyable.


Spice nad Cruch chicken wings give you varied texture, explosive flavor and are very simple to make too.
Thinking about how delightful it was sinking my teeth into these babies makes me so hungry right now! You will feel the crispiness of the crust first, then the crunch of the peppers then the tenderness of the beautifully marinated chicken. The taste of how all the spices used compliment each other is beyond words! If that is not a bite you are looking forward to, then you are on the wrong planet!


Zaidi;http://www.kaluhiskitchen.com/


Sunday 5 October 2014

Tumalizie JumaPili hii kwa Amani;Burudani-Waswahili wakisifu kwenye Mkutano wa MWL.C.Mwakasege.[COVENTRY]


Wapendwa;Natumaini Jumapili Ilikuwa/Inaendelea vyema,muwe na Amani,Baraka,Upendo,Furaha,Shukrani na Utukufu Tumrudishie MUNGU.....
Basi kwa mtini jifunzeni mfano;tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani,mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
Neno La Leo:Mathayo Mtakatifu:24:32-51
33;Nanyi kadhalika,myaonapo hayo yote,tambueni ya kuwa yu karibu,milangoni.
34;Amin, nawaambia,kizazi hiki hakitapita,hata hayo yote yatakapotimia.
35;Mbingu na nchi zitapita;lakini maneno yangu hayata pita kamwe.


 


"Swahili Na Waswahili"Mbarikiwe Sana.

Wednesday 1 October 2014

Mahojiano na waandaaji wa SWAHILI FESTIVAL Marekani

Patric Kajale. Mmoja wa waandaaji wa Tamasha hilo.

PHOTO CREDITS DMK Blog 
Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio na waandaaji wa SWAHILI FESTIVAL iliyofanyika Sept 21 jijini Bladensburg, jimbo la Maryland nchini Marekani
Karibu


Mahojiano na Dr Patrick Nhigula. Mgombea u-Rais wa DICOTA

Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio wa Kwanza Production na Dr Patrick Nhighula, mgombea wa nafasi ya uRais wa DICOTA 2014. Mbali na kuielezea DICOTA yenyewe, pia ameeleza nia yake kugombea nafasi hiyo
Karibu umsikilize


Thursday 25 September 2014

Hotuba ya Rais Kikwete kwenye mkutano wa tabianchi, Umoja wa Mataifa


Photo Credits: UN Photo/Ryan Brown
Septemba 23, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk Jakaya Kikwete, ambaye pia ni kiongozi wa kamati ya viongozi wa nchi na serikali za Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi alihutubia kikao kilichoandaliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Kin Moon kujadili changamoto za mabadiliko ya tabianchi duniani. 
Hii ni hotuba yake, kwa hisani ya Umoja wa Mataifa


Sunday 21 September 2014

Tumalizie Jumapili hii Vyema;Burudani-Judy Jacobs - Days of Elijah (No God Like Jehovah) holy Ghost filled song,I will worship you(I exalt thee)......

Wapendwa;Tumalizie Vyema,Mungu azidi kuwatendea,Tusikate tama,Tuwe na tumaini,Tupendane na Tusaidie wenye kuhitaji......Mungu awe Mlinzi Wetu...

Aketie mahali pa siri pake Aliye juu, Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi....

Neno La Leo;Zaburi;91:1-16

2;Nitasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu,Mungu wangu nitakayemtumaini.
3;Maana yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji,Na katika tauni iharibuyo.

4;Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio;Uaminifu wake ni ngao na kigao.


 


"Swahili Na Waswahili"Muwe Na Wakati Mwema.

USIKU WA DENIS B. MSAKI (NASIBU) NA SIAEL NDANI YA UKUMBI WA GREEN LEAF KIMARA KOROGWE


Kati kati ni Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki wakiwa na wasimamizi wao katika harusi yao takatifu iliyofungwa katika kanisa la Roman Katoliki parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar es salaam.
Maharusi Denis na Siael wakimtanguliza Mungu kabla ya kuanza kwa sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf Kimara Korogwe.
 
Bwana na Bibi Denis (Nasibu) Msaki siku ya jana ya tarehe 20/09/2014 ndio siku yao ambayo walikuwa wanaisubiri kwa muda mrefu baada ya kutimiza ndoto yao katika uchumba wao na kufunga ndoa takatifu katika kanisa la Roma parokia ya Mavurunza Kimara jijini Dar na baadae ikafuatiwa na sherehe ya nguvu iliyofanyika katika ukumbi wa Green leaf uliopo Kimara korogwe jijini Dar es salaam.
Sherehe hiyo iliongozwa na MC msanii maarufu wa maigizo Bwana Novatus Michael anayejulikana kwa jina la kisanii kama Nova

Sunday 14 September 2014

Worshiping YouGod is fighting for us, pushing back the darkness, - Deluge!!!!!!!


Wapendwa;Natumaini Jumapili hii inaendelea vyema,Iwe yenye Baraka,Amani,Upendo,Imani,Haki na Hekima.....

Kama vile Ibrahim alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki....

Neno La Leo;Wagalatia;3:1-29
Fahamu basi,Ya kuwa  wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu....








"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.

Thursday 11 September 2014

Jikoni Leo;How to cookUgali[Tanzania/Kenya]Sadza[Zimbabwe]Nshima[Zambia/Malawi]Pap[SouthAfrica]Fufu [West Africa].......

Waungwana;"Jikoni Leo" ni Ugali kwa sisi Waswahili tunaita hivyo..kila watu wanajina lao...kikubwa mlo!!!!!!
Nafikiri ni chakula kinacholiwa na Wa-Afrika/sehemu kubwa Afrika.. kama siyo wote...wapo wale wasioupenda tuu lakini wanaujua..hata kwetu wapo.
Kuna wanaosema Ugali wa Ng'ambo hauivi vizuri,haunogi.....,pia kuna wanaosema Ugali wa majiko haya ya Umeme,gesi na....haunogi/hauivi vyema....Ugali mtamu na kuiva vyema ule wakupikia Kuni,Mkaa...



to cook sadza

Mbira JunctionMbira Junction
Thanks

Pia watoto wengi wanaoishi Ng'ambo hawapendi Ugali..Sababu ni nini?

Je watoto wako wanapenda Ugali?


Pia watu wengine wanaoshi Ng'ambo wanapika Ugali mwingi na kuweka kwenye Fridge/ Freezer..ili akihitaji anapasha tuu..vipi hii wewe unaweza?

Ugali unamboga zake....
Ugali unaupishi wake...usiwe na mabuja,vidongevidonge...

Lakini kila kitu kisizidi,kikizidi hakinogi..basi si kila siku Ugali.

Asante;Tanzania na da'

 


Zimbabwe;Thanks


Tahanks;
AfricaCookingChannel

"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Mitindo Afrika;Asili Ya Kanga

 



Shukrani;qtvkenya
"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.

Monday 1 September 2014

Jikoni Leo na Mswahili;Da'Stella Adhiambo-Harris-Chicken Kebabs (Mishkaki ya kuku). Potato Bhajia (Gluten-free)



This style of chicken kabobs is popular in Kenya and Tanzania,where it is known by it's Swahili name,"Mishkaki ya kuku", which loosely translates to skewered chicken. These are tender, juicy,delicious and aromatic! They can be eaten as an appetizer or served on a bed of any rice dish as a meal. These are always a hit at my home whenever we have friends over for a barbecue. So feel free to impress your company at your next barbecue or tailgating party with these kebabs.This is a make-ahead dish, but the finished product will make it look like you slaved in the kitchen for hours ;)

SERVING SIZE:

This recipe feeds 4. It can be doubled depending on the size of the group you are feeding.

SPECIAL EQUIPMENT:

-Bamboo or metal skewers. If using bamboo skewers, completely submerge in water and soak for at least 3 hours (This will ensure that whatever part of the skewer is exposed to the heat does not burn).
-Grill brush or pastry brush to brush oil onto the kebabs as they cook.

***You will need to marinate your chicken before skewering and cooking it. The marination needs to take place for a minimum of three hours for the chicken to tenderize and take in the flavors of the spices. For best results,marinate overnight.***


INGREDIENTS:

-1 1/2 Lbs boneless, skinless chicken breast (cut into bite-size cubes).
-3 tablespoons plain, full-fat yogurt (I use Dannon).
-1 teaspoon ginger paste.
-1 teaspoon garlic paste.
-1 teaspoon red chili that has been pureed in a blender. I used 1/2 of a habanero pepper, that I seeded and mashed into a paste to cut down on the heat. (Note: If you leave the seeds in the pepper, the food will be very hot. So only leave it in if you like your food very hot).
-1 teaspoon corriander powder.
-1 teaspoon cumin powder.
-1 teaspoon ground cinnamon.
-1/2 teaspoon cayenne pepper (if you like your food hot,you can use 1 teaspoon).
-1/2 teaspoon of salt ( I use Kosher salt).
-2 tablespoons of fresh lemon juice.
-2 tablespoons of pure vegetable oil (I use Canola).

FOR GARNISHING:

-1 cubed red bell pepper.
-1 cubed green bell pepper.
-1 onion, cubed.

 

A bhajia is a very popular East African snack that has it's origins in India. It is a kind of fritter, with several variants. In India, they are called, "bhaji". In Kenya, they are usually served with a cold refreshing drink. I would in fact dare say that an ice-cold Coca-Cola and a bhajia are a match made in flavor heaven! This recipe consists of thinly sliced potatoes incorporated into a thick batter made from rice and gram flour (chickpea flour), spices and herbs, then fried until golden. They may be served with a side of salad and slice of lemon, with mango chutney or tamarind dipping sauce.

 Thanks/Shukrani;Da'Stella Adhiambo-Harris..!!!!!!
   Kuona na kujifunza zaidi mfuate huku;Stella Adhiambo-Harris   na http://www.stellasmeza.blogspot.co.uk/

"Swahili Na Waswahili"Pamoja sana.

Sunday 31 August 2014

Natumaini JumaPili Inaendelea Vyema;Burudani-Jamaican Gospel...!!!!!!

Wapendwa;Nimatumaini yangu Jumapili ilikuwa/inaendelea Vyema,Indelee kuwa na Amani,Upendo,Unyenyekuvu,Furaha na Upole kiasi....



Basi ,mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo;mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi,bali nipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;2;Naam, naomba kwamba nikiwapo, nisiwe na ujasiri kwa uthabiti ambao nahesabu kuwa nao juu ya wale wanaodhani ya kuwa sisi tunaenenda kwa jinsi ya kimwili 3; Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; 4;[Maana silaha za vita vyetu  si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;]
Neno La Leo;2Wakorintho 10:1-18
5;Tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukitekanyara kila fikira ipate kumtii Kristo 6;Tena  tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia. 7;Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu.Mtu akijitumainia mwenyewe yakuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake,Ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo,vivyo hivyo sisi 8;Maana, ninapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yenu,[tuliyopewa na Bwana,tupate kuwajenga wala si kuwaangusha],sitatahayarika; 9;Nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa  nyaraka zangu.......................

17;Lakini, yeye ajisifuye, na ajisifu katika Bwana. 18;Maana mtu mwenye kukubaliwa si yeye ajisifuye, bali yeye asifuwaye na Bwana.









"Swahili Na Waswahili"Mbarikiwe wote.

Wednesday 27 August 2014

Wanawake Na Mitindo;[Natural Hair]Nywele zisisowekwa dawa[Chukuchuku]

Waungwa;Wanawake na Urembo,Mitindo..Sikuhizi Wanawake/Kinadada wengi wameamua kurudi/kubaki kwenye Nywele zao za Asili... [Chukuchuku]Wengine hawaweki Dawa wala kusukia Nywele Bandia.Na wengine wanaongezea "Madoido"   kidogo ili kupendezesha Nywele hizo, Wengine wanasuka na kuongezea nywele bandia kidogo lakini hawaendi mbali saana na mitindo ya Kizamani/yakina Mama..Lakini wote wanapendeza tuu..

Jee wewe ni mpenzi wa mitindo hii?
Jee ni kuishiwa/kukosa ubunifu wa mitindo mipya?

Jee kuchoshwa na Mitindo hiyo au kuna/ina  Madhara kiafya?







kwa mitindo na Urembo zaidi tufuate huku;http://mitindoafrica-abroad.blogspot.co.uk/
 "Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima

Sunday 24 August 2014

Tumalizie JumaPili hii Kwa Amani na Baraka;Burudani-Angalia baba,Pamoja na Wewe-Elisha Muliri!!!!!!!

Natumaini Jumjapili hii ilikuwa Njema,Mungu azidi Kuwabariki,Kuwa na Imani,Kusifu,Kuabudu,Kushukuru na Kutukuza...
Akaanza kufundisha tena kando ya bahari.Wakamkusanyikia mkutano mkubwa mno,hata yeye akapanda chomboni, akakaa baharini,mkutano wote ulikuwako juu ya nchi kavu kando ya bahari.2;Akawafundisha mambo mengi kwa mifano,akawaambia katika mafundisho yake.
Neno La Leo;Marko Mtakatifu4:1-40
3;Sikilizeni;Tazama mpanzi alitoka kwenda kupanda;4;Ikawa alipokuwa akipanda, Mbegu nyingine  ilianguka kando ya njia, wakaja ndege wakaila.5;Nyingine ikaanguka penye mwamba,Pasipokuwa na udongo mwingi,;Mara ikaota kwakuwa na udongo hapa;6;Hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka.7;Nyingine ikaanguka penye miiba;Ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.8;Nyingine zikaanguka penye udongo ulio  mzuri,zikazaa matunda,Zikimea na kukua, na  kuzaa, moja thelathini, moja sitini, na moja mia.9;Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Mfano Wa Mpanzi:1-9


Shabaha Ya Mifano:10-13[Mat13:10-17[Luka:8:9-10]


Yesu anafafanua mfano wa Mpanzi:13-20[Mat 13:18-23][Luka 8:11-15]

Taa iliyofunikwa:21-25[Luka 8:16-18]

Mfano wa Mbegu inayoota:26-29

Mfano wa Mbegu ya Haradali:30-34[Mat 13:31-32,34][Luka 13:18-19]


Yesu anaamuru dhoruba itulie:35-40[Mat 8:23-27][Luka 8:22-25]




"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana.

Tuesday 19 August 2014

[VIDEO]: Mazungumzo na Liberatus Mwang'ombe na Solomon Chris baada ya Uchaguzi DMV‏


Mubelwa Bandio kati akiwa na aliyekuwa mgombea wa nafasi za Mwenyekiti wa Jumuiya DMV Liberatus Mwang'ombe (L) na mgombea nafasi ya Katibu Msaidizi Solomon Chris (R0 wakati wa mahojiano

Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.

Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.

Wamaketi na Vijimambo Blog na Kwanza Production kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014.

Karibu uungane nasi kusikia wanachopinga

Mazungumzo na Salma Moshi kuhusu uchaguzi DMV‏




 Salma Moshi akizungumza na Mubelwa Bandio kwenye mahojiano haya


Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.

Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.

Mmoja wa wagombea hao, Salma Moshi amaketi nasi kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014 chini ya utayarishaji wa Vijimambo Blog


Karibu uungane nasi kusikia anachopinga

 
 

Wednesday 13 August 2014

Mahojiano ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan‏



JhikoMan akitumbuiza kwenye Tamasha la Majahazi 2013
Karibu katika mahojiano kati ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a
JhikoMan aliyejiunga nasi moja kwa moja kutoka Helsinki Finland mwishoni mwa mwezi Julai

Amezungumza
mengi kuhusu ziara yake ya Ulaya iliyoanza mwezi wa nne, maonyesho
aliyofanya, kazi alizorekodi na pia watu aliowashirikisha kwenye albamu
yake mpya ijayo.

Amezungumzia IMANI ya RASTA na pia MUZIKI WA TANZANIA kwa ujumla

Ameongea mengi mema

KARIBU UJIUNGE NASI


Tuesday 12 August 2014

Pitapita ya Mswahili mitaani;Mtu Kwao.!!!!!!!



Tulikutana na hili bango mitaani hapa UK,kuona Bendera ya Kwetu,"Tanzania" Tukavutiwa..
Nyumbani Kwetu ni Kuzuri,Watu wa Kwetu ni Wakarimu..Karibuni Tanzania Karibuni Mtwara. Mambo Ipo Huko!!!!!!!
"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima

Hotuba fupi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank kwa DIASPORA‏


Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Charles Singili alipokuwa akizungumzia huduma za benki yake kwa waTanzania jijini Washington DC
PICHA ZOTE KWA HISANI YA IKULU
Hotuba fupi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Charles Singili alipokutana na waTanzania waishio nchini Marekani usiku wa Agosti 2, 2014.

Hotuba hii ilitolewa kwenye mkutano kati ya waTanzania wa Marekani na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Jakaya Kikwete

Karibu umsikilize