Tuesday 24 June 2014
Monday 23 June 2014
Mahojiano ya Kwanza Production na Haika Lawere. Mkurugenzi wa Mbezi Garden Hotel
Haika Lawere akizungumza na wanawake kwenye tukio la wanawake waTanzania Washington DC
Photo Credits: IskaJojo Studios
Karibu katika mahojiano kati ya Kwanza Production na Haika Lawere.Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel ya Dar Es Salaam Tanzania.
Amezungumzia mengi kuhusu maisha yake, kazi yake, changamoto anazokumbana nazo katika kazi, ziara yake hapa Marekani na hata ushauri wake kwa wasikilizaji
Amezungumza mengi mema
Karibu uungane nasi
Kwa maoni ama ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia kwanzaproduction at gmail dot com
Sunday 22 June 2014
Nawatakia JumaPili Njema na Yenye Amani;Burudani-Ambassador of Christ Choir Rwanda - Kaeni macho,Tuwe Na Upendo,Ng'ambo Ya Mto...!!!!!
Wapendwa Nawatakia JumaPili njema,Yenye,Amani,Upendo na Furaha..........
Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa;Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa;Achilieni, nanyi mtaachiliwa;Wapeni watu vitu,nanyi mtapewa;kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwa-sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu.Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa............
Neno La Leo;Luka Mtakatifu:6:1-49
43.Kwa maana hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya,Wala mti mbaya uzaao matunda mazuri;44.Kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa matunda yake;Maana,katika miiba hawachumi tini,wala katika michongoma hawachumi zabibu.45.Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, Na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu;Kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.
Suala juu Ya Siku Ya Sabato;1-5
Mtu mwenye mkono Uliopooza;6-11
Yesu anateuwa Mitume kumi na wawili;12-16
Yesu anafundisha na Kuwaponya watu;17-19
Heri Na Ole;20-26
Kuwapenda Maadui;27-36
Juu Ya Kuwahukumu Wengine;37-42
Mtu Hujulikana kwa Matunda Yake;43-45
Wajenzi wa NamnaMbili;46-49
Mhhhhmmmm;Tuache Maneno Yesu yu karibu tena yukaribu sana siyo mbaliiii,Hatujui siku wala saa Ndugu....Lakini dalili zinaonyeshaaa....
"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.
Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa;Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa;Achilieni, nanyi mtaachiliwa;Wapeni watu vitu,nanyi mtapewa;kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwa-sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu.Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa............
Neno La Leo;Luka Mtakatifu:6:1-49
43.Kwa maana hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya,Wala mti mbaya uzaao matunda mazuri;44.Kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa matunda yake;Maana,katika miiba hawachumi tini,wala katika michongoma hawachumi zabibu.45.Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, Na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu;Kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.
Suala juu Ya Siku Ya Sabato;1-5
Mtu mwenye mkono Uliopooza;6-11
Yesu anateuwa Mitume kumi na wawili;12-16
Yesu anafundisha na Kuwaponya watu;17-19
Heri Na Ole;20-26
Kuwapenda Maadui;27-36
Juu Ya Kuwahukumu Wengine;37-42
Mtu Hujulikana kwa Matunda Yake;43-45
Wajenzi wa NamnaMbili;46-49
Mhhhhmmmm;Tuache Maneno Yesu yu karibu tena yukaribu sana siyo mbaliiii,Hatujui siku wala saa Ndugu....Lakini dalili zinaonyeshaaa....
"Swahili Na Waswahili"Pamoja Daima.
Tuesday 17 June 2014
Mahojiano ya moja kwa moja na msanii Anna Mwalagho kuhusu Tamasha lijalo
Anna Mwalagho. Photo Credits Anna Mwalagho Facebook page |
Amezungumzia tamasha kubwa linaloendelea ambalo atatumbuiza pamoja na kikundi chake kwa siku tatu
Tamasha hilo linaandaliwa kwa ushirikiano wa watu wa Oman na maktaba ya sanaa za waAfrika hapa Washington DC
Karibu usikilize
Monday 16 June 2014
Mahojiano ya Kwanza Production na Fabian Lwamba wa Krystaal
Mubelwa Bandio wa Kwanza Production akimhoji Fabian Lwamba wa kundi la KRYSTAAL |
Lwamba Brothers |
Walikuja kuungana Canada ambako kwa miaka 16 wamekuwa pamoja kama kundi la muziki wa injili.
Amezungumza pia mkanganyiko wa IMANI na TAMADUNI zetu.
Swali.... Ni upi muziki wa INJILI?
Na yeye ambaye ni Mchungaji katika kanisa lao, anasemaje kuhusu TOFAUTI YA KUABUDU KATI YA AFRIKA NA MAGHARIBI
Mpaka sasa, Krystaal wametoa albamu 6 na kupata tuzo 26
Amezungumza pia mkanganyiko wa IMANI na TAMADUNI zetu.
Swali.... Ni upi muziki wa INJILI?
Na yeye ambaye ni Mchungaji katika kanisa lao, anasemaje kuhusu TOFAUTI YA KUABUDU KATI YA AFRIKA NA MAGHARIBI
Mpaka sasa, Krystaal wametoa albamu 6 na kupata tuzo 26
Karibu uungane nasi
Kwa maoni ama ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia kwanzaproduction at gmail.com
Sunday 15 June 2014
Tumalizie JumaPili hii Kwa Baraka;Hongera Kina Baba Wote[Happy Father's Day];Burudani,John Lisu - Yu Hai Jehovah,Fungua Macho!!!!
Wapendwa;Natumaini JumaPili hii InaendeleaVyema/Imekuwa Njema...Mbarikiwe Sana Wote..
Utabarikiwa mjini,Utabarikiwa na mashambani.Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, Na uzao wa nchi yako,Na uzao wa wanyama wako wa mifugo,maongeo ya ng'ombe wako,Na wadogo wa kondoo zako.......
Neno La Leo:Kumbukumbu la Torati;28:1-15.
[Baraka kwa Wanaotii]
Litabarikiwa kapu lako,Na chombo chako cha kukandia unga..........
"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana.
Saturday 14 June 2014
MEET & MINGLE -PRE 2ND ANNUAL TANZANIAN LADIES NIGHT-USA-at Hampton Inn..( photos).
Hawa ndiyo Wana "TANO LADIES" Waandaaji Wakuu. Hongereni Sana Sana..MUNGU azidi kuwafunulia na kuwatendea. |
PHOTO CREDIT-www.iskajojostudios.com
Subscribe to:
Posts (Atom)