Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Washington DC. Show all posts
Showing posts with label Washington DC. Show all posts

Tuesday 21 June 2016

Hotuba ya Maalim Seif Shariff Hamad + maswali na majibu....Washington DC


Photo Credits: Swahilivilla Blog
June 18, 2016, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Maalim
Seif Sharif HamaD alifanya mkutano kuzungumza na waTanzania waishio nje
ya nchi kupitia wale waishio jijini Washington DC.

Hii ilikuwa sehemu ya shughuli zake alipokuwa katika ziara yake ya siku 14 nchini Marekani na Canada.

Ameeleza
mengi kuhusu uchaguzi wa Zanziba, kilichotokea, kilivyotokea na namna
wanavyotafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa, kikatiba na kisheria
uliopo nchini Zanzibar

Karibu umsikilize

Baada ta hapo, wahudhuriaji walipata nafasi ya kuuliza maswali
Karibu uwasikilize

Sunday 20 September 2015

Maonyesho ya ndege za kivita Washington DMV Sept 19, 2015‏


Picha kwa hisani ya Vijimambo na Kwanza Production



Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa.
Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji.

 Askari miavuli wakishuka kwa aina yake

 Mmoja wa askari wa mwavuli akishuka katika ufunguzi wa maonyesho hayo

 F-22 Raptor

Monday 15 June 2015

[VIDEO] Susan G Komen Race for the Cure 2015.....Washington DC


Karibu kutazama ripoti hii fupi kuhusu matembezi ya SUSAN G. KOMEN RACE FOR THE CURE mwaka 2015 hapa Washington DC


Friday 29 May 2015

Maadhimisho ya SIKU YA AFRIKA yafanyika Washington DC


Balozi wa Misri nchini Marekani Mhe. Mohamed Tawfik akiongea kufungua sherehe ya African Union iliyofanyika siku ya Alhamisi May 28, 2015 katika hotel ya JW Marriott, Washington DC
Balozi wa Morocco nchini Marekani Mhe. Rashad Bouhlal akiongea machahce.
Msemaji mkuu wa sherehe ya siku ya Afrika Mhe. Donald Tetelbaum.
Mchungaji Jesse Jackson akiongea kwenye sherehe ya siku ya Afrika.


Maureen Umeh mfanyakazi wa kituo cha luninga cha Fox News DC akisherehesha sherehe ya siku ya Afrika.



Mambalozi wa Afrika nchini Marekani wakiwa katika picha ya pamoja
Wageni waalikwa wakifuatilia hotuba.
Mkuu wa Utawala na Fedha mama Lily Munanka akisalimiana na Balozi wa Kenya nchini Marekani Mhe. Robinson Githae.