Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Wanaume na Mitindo. Show all posts
Showing posts with label Wanaume na Mitindo. Show all posts

Wednesday 9 October 2013

Wednesday 17 October 2012

Wanaume na Mitindo ya Nywele!!!!!!!!




Waungwana
"Wanaume na Mitindo" Leo tuangalie Mitindo ya Nywele, ki-Leo/kisasa..haya Wewe unaionaje? Inakubamba/kuipenda au...

 Jee Wanawake mnasemaje baba watoto, Mchumba,Kaka,Mwanao na Mitindio hii, upi umeupenda zaidi?...
Wenyewe Jee kina Kaka,Baba,Mojomba mnatuambiaje?

 Mengi sina Nawasikilizawenzangu....

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima...

Kuona picha zaidi, ingia kwenye Kibaraza chetu kipya;http://mitindoafrica.blogspot.co.uk/


Monday 24 September 2012

Wanaume na Mitindo;-Burudani-P-Square ft. Akon & May D - Chop My Money!!!!







Waungwana;"Wanaume na Mitindo"Mambo hayo!!Vipi wewe Baba/Kaka Vivazi hivi vinakugusa/vipenda? Jee unapenda kuvaa Saresare na Mke/Mchumba,Dada...wako?
Na kina Mama/Dada jee ungependa Mumeo/Mchumba,Kaka na.. wakitinga/kuvaa hivi? jee Saresare vipi?

Jee Wanawake mnakawaida ya kuwanunulia Waume zenu Zawadi au mmezoea kupokea tuu?.

Karibuni sana kwa Maoni,Ushauri na Kuelimishana kwa Upendo.Mambo haya kutoka kwa Rafiki wa Mswahili;
Thanks my love Tarou:http://www.tarou.sn "Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima........


Wednesday 19 September 2012

Wanawake na Mitindo,Leo Tupo Senegal;Burudani-2face - African Queen!!!!!!!!






Waungwana;"Wanawake na Mitindo".leo Ki-dada/mama-Ki Afrikaaaa!!!!!
kwakweli mavazi haya hayamchukii mtu kwa Mtazamo wangu,kila Anayevaa anapendeza,tena Vazi hili linaupa mwili Nafasi na Kujiamini, Au.. weweee unaonaje?
Vipi wewe Dada/Mama ni Mpenzi wa Mavazi haya? wewe Kaka/Baba ungependa Dada/Mkeo au Rafiki yako Atinge hivi?
kwanini Unapenda na kwanini Huyapendi?

Funguka/Tuambiazane..........Mmmmhhh nisimalize Uhondo ngoja nisikilize na wengine...........
Picha hizi nimetumiwa na Rafiki yangu Tarou,yeye si Mswahili bali ni Rafiki wa "Mswahili" kina kaka/baba nanyi nitawarushia Msikonde wala nini.
Thanks so  Much lovely Tarou.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Thursday 6 September 2012

Wanawake na Mitindo;Ya Kale ni Dhahabu!!!!!!


Waungwana; Wanawake na mitindo,"Ya Kale ni Dhahabu" Umemuona Mrembo wa zamani?nini Unakumbuka kupitia picha hizi na nini kimekuvutia?
Huo unywele wa kwenye picha ya juu sijui aliweka dawa gani,Zazuu,Alizichoma au........
 Huo Unywele wa kwenye Picha ya chini  hakuna Dawa hapo.

Unalolote unaweza kuongezea katika Picha hizi? Karibu sana.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Wednesday 14 September 2011

Wanaume na Mitindo,Leo tupo Igunga!!!

                       Huyu baba kavaa shanga na katupia kikoi.
                Kijana Kasuka,shanga hakukosa na katupia kikoi,anasalimia kwa mapozi kabisa.
              Hawa wamejifunika vikoi, sijui hii ya mwisho nyeusi ni kaniki au....
Haya wapendwa Leo tupo Igunga,Tanzania.Kama uonavyo wanaume wa huko na Mitindo.
Sijajua kama hii ndiyo Mitindo ya Asili au yakisasa,Maana nasikia kunamitindo ya Asili,kama ndivyo,
Hongereni kwa kuendeleza Mila ambayo wengine wanameacha.

Wapendwa sina la zaidi nawasikiliza ninyi, Vipi kuhusu mitindo hii wewe unaionaje?
Na je kama Mitindo hii niya kiasili vipi kwenye Harusi au Sherehe za Kitaifa mtu akitinga si itakuwa mwake?





Karibuni sana Waungwana.











Tuesday 21 June 2011

Wanaume na Mitindo,Leo wenye Rasta Eti!!!!!!!

                                           Simon wa Kitutruru [kitururu Mawazoni ,Blog]
                                         Bob Sankofa [Fotobaraza blog]
                                     Arba wa Manillah [Kukaye moto Blog/Mziki]
                                   Mrisho Mpoto [Muziki,blog]


Wapendwa Kufuga nywele ni kupenda si kama vinyozi hakuna!!!Kumekuwa na mtazamo wa baadhi ya watu kuhusu Rasta.Watu waonaopenda kuwa na Mtindo huo kuonenakana kama Wahuni,Wavuta bangi,hawatakiwi kula Nyama na Si heshima kwa jamii. Labda nisimalize yote nawe kama unayo  unayoyajua mengi.


Je Unasemaje kuhusu haya?
Karibuni sana kwa kuelimishana na Kutoa mawazo, maoni,Ushauri wako!!!!.