Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Sunday 24 May 2015

TAMASHA LA GOSPEL CONCERT & CONFERENCE MEMORIAL WEEKEND, COLUMBUS, OH.‏




Mwimbaji mahili wa nyimbo za injili kutoka Tanzania Upendo Nkone
akiimba moja ya nyimbo zilizowainua watu vitin kwenye tamasha la
Gospel linaloendelea mjini Columbus tangia siku ya Ijumaa May 22 na
kuhitimishwa leo siku ya Jumapili May 24. Tamasha lilihudhuriwa na
watu kutoka mataifa mbalimbali wengine wakiwa wamesafiri kutoka
majimbo ya mbali na Ohio.


Mwimbaji kutoka Jamhuri ya Congo akienda sambamba na mwimbaji
mahili wa nyimbo za injili Upendo Nkone kwenye tamasha la Gospel
lililofanyika siku ya Jumamosi May 23, 2015 6230 Busch Blvd suit 260,
Columbus, OH 43229.


 Nnunu Nkone akitoa neno la Mungu na kuimba kwenye Tamasha la
Gospel lililofanyika
Mchungaji Donis Nkone ambaye ni kaka ya mwimbaji Upendo Nkone
akitoa ukifanya utambulisho kwa bendi iliyokuwa ikitumbuiza nyimbo za
injili kwenye tamasha la Gospel lililofanyika siku ya Jumamosi May 23,
2015 mjini Columbus.


Mchungaji Donis Nkone na mkewe Nnunu Nkone wakifuatilia tamasha la
Gospel


Bendi ikienelea kupiga moja ya nyiimbo za mwimbaji wa nyimbo za
injili kutoka Tanzania Upendo Nkone.


Bendi ikitumbuiza.


Kwa picha zaidi bofya soma zaidi.








No comments: