Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Friday 1 August 2014

Siku Kama Ya Leo da'Rachelsiwa Alizaliwa;[Happy birthday]Namshukuru MUNGU kwa kila Jambo!!!!!!!

Wapendwa/Waungwana,Siku Kama Ya Leo mimi "Rachel siwa"Nilizaliwa.Namshukuru sana MUNGU wangu kwa yote aliyonitendea/anayonitendea...Yeye ni mwingi wa Rehema,Neema,Baraka,Upendo.Yeye ni kila kitu maishani mwangu..
Nawashukuru Sana Wazazi/Walezi wangu kwa malezi na yote mliyonitendea kulingana na uwezo wenu,Nathamini sana mchango wenu,Kwani malezi yenu hayana mwisho kwangu.
Namshukuru sana Mume wangu katika yote,Tangu pale tulipokutana/tulipotoka mpaka sasa tulipo na tunapoelekea ni kwa Uwezo wa MUNGU tutafika salama.
Niwashukuru sana Watoto wangu wote,wale wa kuwazaa na wakurithi , kwa Faraja,Heshima,Upendo na mengineyo..Najivunia kuwa MAMA.
Nawashukuru sana Dada,Kaka,Mawifi,Mashemeji,Ndugu,Jamaa,Marafiki na Watu wote wanaonifahamu kwa namnamoja au nyingine..Nawapenda Wote.MUNGU azidi kuwabariki na kuwaongezea kila lililo jema.
Asante sana kwa wote walioniletea zawadi,wanaoniombea,walionitumia ujumbe na mnaondelea kuniombea...MUNGUazidi kuwa Bariki na kuwatendea....



Asanteni Sana kwa kunisoma  na MUNGU awabariki Sana.

"Swahili Na Swahili" Pamoja Sana.

No comments: