Mwalimu Lilian Lwanji [mke wa muheshimiwa Lwanji].
Muheshimiwa Lwanji akitoa machache na mama pembeni.
Mama Lwanji akiwa na binti yake.
Nanukuu; Hivi mtoto wako ukikutana nae Sebuleni akakuamkia Shikamoo,Muda mfupi baadae unakutana nae chumba cha stoo akakupa Shikamoo, Tena unakukutana nae chumba cha Kulia chakula anakuamkia Shikamoo,Je hiyo itakuwa ni Heshima au ni ukosefu wa Akili?
Maneno hayo ya Mwalimu Liliana Lwanji, Jee wazazi/walezi manasemaje kuhusu hizo Shikamoo?
Karibuni sana Waungwana!!!!!!
Habari na Picha,zaidi zinapatikana;kwa, Mohammed Dewji blog!!!!!!
Muheshimiwa Lwanji akitoa machache na mama pembeni.
Mama Lwanji akiwa na binti yake.
Nanukuu; Hivi mtoto wako ukikutana nae Sebuleni akakuamkia Shikamoo,Muda mfupi baadae unakutana nae chumba cha stoo akakupa Shikamoo, Tena unakukutana nae chumba cha Kulia chakula anakuamkia Shikamoo,Je hiyo itakuwa ni Heshima au ni ukosefu wa Akili?
Maneno hayo ya Mwalimu Liliana Lwanji, Jee wazazi/walezi manasemaje kuhusu hizo Shikamoo?
Karibuni sana Waungwana!!!!!!
Habari na Picha,zaidi zinapatikana;kwa, Mohammed Dewji blog!!!!!!