Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Kuelekea katika Uchaguzi/Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Kuelekea katika Uchaguzi/Tanzania. Show all posts

Tuesday 27 October 2015

Kipindi cha Jukwaa Langu Okt 26 2015 (FULL)


Photo Credits: dw.com/sw


Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Na leo, tulizungumzia Tanzania baada ya Uchaguzi wa jana Oktoba 25, 2015

Tuesday 20 October 2015

Kipindi cha Jukwaa Langu Oct 19 2015 (Full)


Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Ni kipindi cha mwisho kabla ya uchaguzi, na washiriki wengi walishiriki kutoa mchango wao kuhusu mchakato ulivyokuwa, na neno ama wosia wao kwa waTanzania wote

KARIBU

Tuesday 13 October 2015

Mahojiano na DC Paul Makonda Katika JUKWAA LANGU Oct 12 2015


Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015.

Katika
sehemu hii ya kipindi cha wiki hii, utasikia mahojiano yetu na Mkuu wa
Wilaya ya Kinondoni, Mhe Paul Makonda juu ya Matembezi ya Amani
yaliyoandaliwa na Ofisi yake na kufanyika wilayani humo

Pia wasikilizaji walipata fursa kumuuliza maswali na hata kutoa maoni yao juu ya kinachoendelea huko

KARIBU

Tuesday 29 September 2015

Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 28 2015 (FULL)


Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Hiki ni kipindi kilichosikika Septemba 28, 2015

Kutoka Tanzania tuliungana na Liberatus Mwang'ombe. Mgombea ubunge jimbo la Mbarali kwa tiketi ya CHADEMA

Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, na kwa njia ya simu tukaungana na wasikilizaji wengi ndani na nje ya Marekani

KARIBU

Wednesday 23 September 2015

Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015


Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Hii
ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo
mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo
Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.

Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela

Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Blogger Mr Verbs wa www.habarika24.blogspot.com, pia kulikuwa na Dr Patrick Nhigula, Hajji Khamis na Emil Mutta na Kennedy

Wednesday 16 September 2015

[AUDIO]: Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 14 2015


Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 14, 2015
Kutoka Tanzania tuliungana na Jonathan Samiya na Nyakia, ambaye ni mmoja wa wakuu wa Itifaki wa kampeni za Dr Magufuli
Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, Clare Ng'owo, Ali Badawy na Shamis Abdulla
Kwenye line tulikuwa na Jeff Msangi, Dr Patrick Nhigula na Arthur

Thursday 10 September 2015

Kipindi cha JUKWAA LANGU.....Sep 7 2015 (Part One)


JUKWAA LANGU ni kipindi ambacho kitakuwa kikikujia kila Jumatatu, kujadili mambo mbalimbali yanayotokea nchini Tanzania, na zaidi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi cha Septemba 7, 2017 ambapo studioni tulitembelewa na Shamis Abdul, kuwezesha mjadala.

Pia, kulikuwa na washiriki kwa njia ya simu, toka pande mbalimbali za dunia

Monday 7 September 2015

Wimbo mpya wa UCHAGUZI toka kwa INNOCENT GALINOMA


Kuelekea uchaguzi mkuu nchini Tanzania, watu kupitia fani na kazi mbalimbali wamekuwa wakijaribu kuhamasisha wananchi kushiriki kufanya maamuzi yatakayolipeleka taifa letu mbele.

Innocent Galinoma, ni msanii mkongwe wa Reggae anayefanya kazi zake nchini Tanzania.

Naye ametunga wimbo maalum kwa ajili ya uchaguzi huu mkuu. Akisisitiza kuhusu kusikiliza na kuwahoji wagombea ili kujua fika wanalotaka kutufanyia katika kutatua kero zetu

Karibu usikilize kibao....UCHAGUZI

Tuesday 14 July 2015

Kipindi cha JUKWAA LANGU, Julai 13, 2015


Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali akiwemo Katibu Uenezi na Itikadi wa CCM Ndg. Nape Nnauye kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU