Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 3 February 2014

African Valentine Special,[Coventry U.K.]!!!!!!!



A special Valentine Party on 14th Feb from 10 till 6am. Come and party African way, nyama choma in the house

Entry £5, Venue Fatty Cats Night club, Foleshil

457 FOLESHILL ROAD
CV 6  5AQCOVENTRY, UK.

MORE INFO,CALL:077 72 37 95 24.

Sunday 2 February 2014

Muendelee na J'Pili yenye Amani na Furaha;Burudani-Great Is Thy Faithfulness,It is well with my soul[Chris Rice]!!

Wapendwa/Waungwana,Nimatumaini yangu Mmekuwa/Mnaendelea na J'Pili hii kwa Amani,Furaha na Baraka...
Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako,bali yatafakari maneno yake mchana na usiku,Upate kuangalia  kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo;Maana ndipo utakapofanikisha njia yako,kisha ndipo utakapo sitawi sana.


Neno La Leo;Kitabu cha Yoshua:1:8





"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana.

Thursday 30 January 2014

Mswahili Wetu Leo; Tupo Kigoma Tanzania na Fundi Khamiss!!!!




Waungwana,Mswahili Wetu  Leo ;
Tupo Kigoma kwa Fundi Khamiss,Yeye ni Mshonaji na Mbunifuni.

Jee unamtazamo gani na Mafundi Nguo wa [Mitaani/Vibarazani] kwa sasa,Soko lao linazidi kupanda au Linashuka?
Haya tumuunge mkono. Unaweza kuwasiliana naye kupitia:Email;Khamiss@gmail.com,Simu,+255 714481790.
Kuona kazi zake zaidi ingia;http://mitindoafrica-abroad.blogspot.co.uk/

Monday 20 January 2014

Tupo pamoja Wapendwa/Waungwana!!!


Nimatumaini yangu wote hamjambo.Samahani niliadimika/potea kidogo, Ni mbio za hapa na pale katika maisha, Pamoja na yote Tupo salama kabisa na niliwakumbuka Sanaa.Tupo pamoja tena Waungwana, Asanteni.                                                                         Swahili na Waswahili Pamoja Daima.

Monday 9 December 2013

Mheshimiwa January Makamba akihutubia waTanzania DMV‏


Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe. January Makamba alipohutubia waTanzania na jamii zao waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika Laurel Maryland Desemba 7, 2013 kwa uratibu wa blog ya VIJIMAMBO


--
*JAMII PRODUCTION*
"Usahihi wa fikra ndio fikra sahihi"

Sunday 8 December 2013

Tumalizie J'Pili kwa Upendo na Amani;Burudani-Bonni Mwaitege,Fungua Moyo Wako na Nyingine!!!!

Wapendwa;Tumalizie J'Pili hii kwa Wema,Busara,Hekima,Amani,Unyenyekevu na Upendo..

Malaika wa BWANA hufanya kituo,Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.


Neno La Leo;Zaburi 34:1-12.
Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema;
Heri mtu yule anayemtumaini
.





"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana.