Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 4 March 2013

Mswahili wetu Leo anejiita Roseline Sara Mpele;Msome mwenyewe- hujambo zaidi ya hapo leo swahili!!!!!!

Hii email nimetumiwa na huyo mtu anejiita Roseline sara Mpele...

Waungwana Kazi kwenu.Msome hapo chini.


Date: Mon, 4 Mar 2013 09:11:45 +0000
Subject: RE hujambo zaidi ya hapo leo swahili
From: mroseline2011@gmail.com
To:


   
     Ninaelewa kwamba Kiingereza na Kifaransa. Niliomba kila siku kwamba Bwana amemtuma mtu mzuri haki kusaidia katika hali yangu. Asante tena kwa majibu yako shauku.
  
     Mimi kwa muda wanaoishi katika utume Katoliki nchini Ivory Coast kundi mji Abidjan ya yatima kanisa katika nyumba ya watu wazima huduma. Wao kutoa yetu kupata mavazi, chakula na internet bure saa siku kwa ajili ya mtandao maktaba yako. kujua kwamba taarifa yangu kama vile tarehe ya kuzaliwa, anwani, jina, nk:
  
     Kwanza ya jina langu Roseline sara MPEL.
     hai wa pili katika mji wa Abidjan, Ivory Coast, mji mkuu wa kiuchumi
     tatu Mimi ni mwanafunzi kuhitimu, mji wa Abidjan Shule ya Tiba, Chuo Kikuu cha Cocody.
  
     Tangu mimi wamepoteza baba yangu, maisha ilikuwa vigumu sana kwa ajili yangu, lakini hawezi kumudu kuendelea na masomo yao kwa sababu ya maisha mjomba wangu ilikuwa ngumu kwa ajili yangu. Walichukua baba yangu, mali isiyohamishika ya nyumba, na biashara. Wao pia alifanya majaribio kadhaa zisizofanikiwa kuchukua faida ya vijana wangu, kurudisha pesa kutoka kwa baba yangu kushoto benki.
  
     Mimi kuuliza, tafadhali msaada ndani ya madaraka yao kwa kunisaidia kudai akaunti ya baba yangu, lakini pia husaidia mimi kwa mafanikio kukamilisha operesheni hii nyumbani baadaye.
  
     Kwa sasa siwezi kufanya wito umbali mrefu, kama ni ghali sana kwa ajili yangu, kwa sababu mimi si kuzalisha mapato. Hata mimi kuwa na idadi ya simu ambapo unaweza kuwasiliana na mimi na mimi hivyo itaendelea kuwasiliana kupitia barua pepe kwa wewe, kama muda kama kila kitu ni nzuri kusaidia mimi kwenda nyumbani.
  
    Hapa ni baadhi ya habari nahitaji kutoka kwenu kabla tunaweza kusonga mbele.
  
     Kwanza mimi kutuma jina lako, anwani, nk.
     pili namba ya simu na nchi ya makazi na kadhalika.
     theluthi moja ya taaluma yao / wavamizi.
     nne wa umri wake, dhidi ya sanamu
  
     Tangu sisi hawana fedha yangu marehemu baba katika akaunti yako, taarifa zako nipe fursa ya kutoa na kutoa kwa benki ambapo marehemu baba yangu zilizoingia hii pesa kama mpenzi wangu kigeni na mdhamini, ambaye kuhamisha pesa kutoka kwa baba yangu marehemu na kudumisha uwekezaji malengo ya nchi.
     Hatimaye, jaribu kuweka siri manunuzi na lazima si ni pamoja na vyama vya tatu. kati ya mimi na wewe
     Sisi kuelewa kwamba sisi kugeuka usikivu wetu kwa huduma ya 100% kwa ajili ya mafanikio ya shughuli hii. Tafadhali wala kuruhusu kitu chochote na kuvuruga mawazo yako, kwa sababu najua kwamba mawasiliano kati yetu, tutakuwa na uwezo wa kupata manunuzi imekuwa alihitimisha kwa wakati.
  
     Mara nyingine tena, asante. Mimi kusubiri kupata habari zako.
 yako Roseline sara mpele



;Mmmhh Kazi kwelikweli "Swahili NA Waswahili" Pamoja sana.

Sunday 3 March 2013

Nawatakia J'Pili yenyeUshindi;burudani-Bahati Bukuku na Brown kyando - Unapojaribiwa na Nyingine..!!!!!!!

Wapendwa Muendelee kuwa na J'Pili yenye Baraka,Amani,Huruma  na "UTOAJI"Kwa MUNGU,Yatima, Wajane na kwa Wenyeshida na TABU.....

Na itakuwa,ukiisha kuingia katika nchi akupayo BWANA,MUNGU wako,iwe urithi, na  kuimiliki, na kukaa ndani yake;
Neno la Leo:Kumbukumbu La Torati:26:1-15;
[12]Utakapokwisha kutoa zaka,katika zaka zote za maongeo yako mwaka wa tatu,ambao ndio mwaka wa kutolea zaka, umpe zile zaka Mlawi, na  mgeni, na yatima, na mjane, wapate kula ndani ya malango yako na kushiba;.....................


"Swahili NA Waswahili"Amani na Upendo

Saturday 2 March 2013

Chaguo La Mswahili Leo-Wenge Musica BCBG - Djodjo Ngonda na Nyingine Nyingii!!!!

Nani alikuambia Afrika si Wabunifu?




Waungwana maneno meengi sinaaa..Mmmhhhh...Kitambo kidogo..walikugusa/Kuwapenda?Jee Bado wapo Juu? Nini /Wapi unakumbuka ukisikiliza Nyimbo hizi?..

Mimi ninawakumbuka watu wengi saana wengine wapo Hai na wengine washatangulia[Kufa].Wengine ninamawasiliano nao Wengine hata sijui wako wapi...Yote ni Maisha.......
Twende Sote sasaaa.......


"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

Tuesday 26 February 2013

Watanzania wa Ujerumani kusherekea miaka 49 ya Muungano ,jumamosi 27-04-2013 Mjini Koln ! Ujerumani.!!!!!



Umoja wa watanzania Ujerumani (U.T.U) Unapenda kuwajulisha kwamba  Sherehe za miaka ya Muungano Wa Tanzania Bara na Visiwani zitafanyika mjini Koloni, ujerumani siku ya jumamosi Tarehe 27.04.2013 Kuanzia saa 8 za Mchana
katika ukumbi wa Circus Fabric uliopo katika anuani hii::- 
Bergisch Gladbacher Strasse 1007a
51069 Kцln

Vikundi mbali mbali vinatarajiwa kutumbuiza
Ufunguzi saa 8 mchana
Maigizo ya watoto  
Sarakasi ya watoto
Sarakasi ya wakubwa
Ngoma za kiasili kutoka Tanzania 
Break Dance 
Live Bands
Maonyesho ya mavazi ya kisili ya kitanzania
Pia kutakuwa na chakula (a.k.a mnuso)

Kila mtanzania anaweza kushiriki kuuza bidhaa zake binafsi za sanaa kama Vinyago, picha,michoro, ususi NK. kuchukua nafasi katika ratiba ya maonyesho, wasanii wanaotaka kushiriki katika maonyesho wanatakiwa kujiandikisha moja kwa moja kwa Mwenyekiti wa UTU kupitia barua pepei ifuatayo-:


Cell:   +491733 779720 
Cell    +491734297997
Umoja ni Nguvu! Utengano ni Udhaifu !


Sunday 24 February 2013

Natumaini mmekuwa na J'Pili Njema;Burudani- kutoka Makanisa tofauti,Iringa Tanzania na Nje ya Nchi!!!!!!





Wapendwa;Natumaini J'Pili imekwenda vyema...Tumalize siku na Makanisa Mbalimbali waumini wakisifu na kuabudu....

Nawatakia kila lililojema na Baraka......
Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza, na kwa ajili ya Yerusalemu sitatulia, hata haki yake  itakapotokea kama mwangaza, na wokovu wake kama taa iwakayo.
Nneno la Leo:ISAYA:62:1-5;Maana kama vile kijana amwoavyo mwanamwali,ndivyo wana wako watakavyo kuoa wewe; na kama vile bwana arusi amfurahiavyo bibi arusi,  ndivyo MUNGU wako atakavyo kufurahia wewe.

"Swahili NA Waswahili"  Muwe na Wakati Mwema.


Wednesday 20 February 2013

Jikoni Leo;Tupo Ghana- How to make Fu Fu!!!

w


Waungwana;"Jikoni Leo"..Tupo Ghana!!!!!!Unajua kupika FU FU wewee..kazi kwako..ukitaka Kujua Uhondo wa ngoma ......................

"Swahili Na Waswahili" Karibu Saaana.


Tuesday 19 February 2013

Mapenzi na Wapenzi;Mr and Mrs - Nollywood Movie,Umefanikiwa kuiona hii?



Waungwana;Mliokuwa  na Ndoa na Mnaotarajia na Mnaofikiria na Mliofikia na.........

Kama hujabatika kuina hii..Naomba upatapo muda kidogo ichungulie.....
Na kama wewe ulibahatika kuiona..Jee umejifunza nini? nawe ukishaiona  Tunaomba utuambie nini umejifunza?.

Swali la Kizushi;Ndoa ni NINI?

Karibuni sana katika Yote!!!!!

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Saaana.