Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!
Showing posts with label Wanawake na Shughuli. Show all posts
Showing posts with label Wanawake na Shughuli. Show all posts

Sunday 31 March 2013

COVENTRY WOMEN GALA ILIVYOKUWA[sehemu ya1]!!!!!!!

Mgeni wetu alikuwa Da'Mariam Kilumanga.

   
Waandaaji wa Hii Coventry Women Gala.. ni hawa ndiyo waliotukusanya Wanawake Wenzao...Ilipendeza sana na Hongereni saana...[Da'Stellah aliyeshika kipaza sauti]

Da'Halima aliyeshika kipaza Sauti

Da'Agness aliyeshika kipaza sauti

Waanzilishi wa Coventry Women Gala!!!!!!!!!






 Waungwana;Shughuli ilikuwa Nzuri na yakupendeza sana,Kuna Meengi sana tumejifunza...
Nitakueleza siku nyingine..Endelea na Picha kwanza..........





Mikakati hahahaa.....














Watu  wakitangaza na Biashara zao...Wanawake Oyeeeeee!!!!!!














[Mi-Ra]............

Tutaendelea usicheze mbaaaali........

"Swahili NA Waswahili"
Pamoja Saaaana.

Wednesday 27 March 2013

UNAJUA HII?COVENTRY WOMEN GALA...IMEWADIA!!!!!!



Waungwana; Ule wakati umewadia....ni j'mosi hii..

Njoo ukutane na Wanawake wenzio..!!
Ni;COVENTRY WOMEN GALA!!!
kidole kimoja hakivunji chawa....Kisa cha kukosa uhondo? kama unajua hili na wengine wanajua lile!!!!!

Umeshapata Tiketi[Ticket] yako?
 Hazitauzwa mlangoni..wahi sasa..
Manunuzi;piga namba hizi..07500875394/07951583622/07950198703
Mwisho wa manunuzi ni Ijumaa saa 2:00 usiku[20:00.pm]Kwa masaa ya UK.Wahi sasa!!!!!!!

Mimi nitakuwepo Wewe Jee?


COVENTRY WOMEN GALA


BE PROUD TO BE A WOMAN

We welcome all women from different nations to get together
 and to meet other women
 and discuss,
 inspiring issues and to have fun.


Speakers will be Mariam Kilumanga
 (Chair person of Tanzania Women Association)
 from London.

 Aunty Fay from B'ham,
 Rachel from Coventry 
(Swahili na Waswahili Blog),, 
Zaneli Mary Kay Consult
from Coventry and other speakers.

FASHION SHOW WILL BE PRESENTED BY OUR FANTASTIC DESIGNERS IN COVENTRY 
DA'MIJA AND TUMA NGAZI .

Different topics such as Women Empowerment,
 Motivation
 and promoting 
Women in business.
       
Don't Miss this wonderful event
 and tell your friends.

you are all welcome!!!!!!!
                                                   
COVENTRY WOMEN GALA
BE PROUD TO BE A WOMAN.

     WOMEN POWER.

Wednesday 13 March 2013

COVENTRY WOMEN GALA,ALL NATIONS WOMEN GET TOGETHER!!!!!!


COVENTRY WOMEN GALA!!!!
COVENTRY WOMEN GALA



BE PROUD TO BE A WOMAN


We welcome all women from different nations to get together
 and to meet other women
 and discuss,
 inspiring issues and to have fun.

Speakers will be Mariam Kilumanga
 (Chair person of Tanzania Women Association)
 from London.

 Aunty Fay from B'ham,
 Rachel from Coventry 
(Swahili na Waswahili Blog),, 
Zaneli Mary Kay Consult
from Coventry and other speakers.

There will be a Fashion show
 and many other Entertainment.


Different topics such as Women Empowerment,
 Motivation
 and promoting 
Women in business.
       
Don't Miss this wonderful event
 and tell your friends.
you are all welcome!!!!!!!
                                                   
COVENTRY WOMEN GALA
BE PROUD TO BE A WOMAN.

     WOMEN POWER.

Friday 11 May 2012

Wanawake na Shughuli;Burudani-Bembeleza,Pii pii!!!!


mwanamke akifanya vitu vyake.Picha kwa hisani ya da'Jane Siame wa http://j2wisdom.blogspot.co.uk


Waungwana  natumai wote Hamjambo.

"Wanake na Shughuli " Kumekuwa na Shughuli nyiingi sana zinazohusishwa wanawake tuu.Jee Wanaume Hampendi/Hawapendi Shughuli/kujichanganya peke yenu/Yao?


Au sisi Wanawake ndiyo haswaa tunatakiwa kujichanganya,kufurahi,kukutana wenyewe?


Na jee kwanini tunapoalikana hizo shughuli tunaambiana kuwa ni ya "WANAWAKE TUU" Sasa basi ukienda huko unakuta Dj,Mchukua matukio, Mara kaka,Mjomba kaja na mengine meeengi yanafanywa na "WANAUME".Jee kweli wanawake wa leo hakuna wakutosha kufanya hizo kazi?
Je na hawa MASHOGA  Tumeshawaweka kwenye kundi Letu?

Vipi unapoaga Nyumbani kwa baba Ngina[mume] unaenda kwenye Shughuli za Wanawake tuu, nae anakupeleka na kuishia mlangoni anarudi Nyumbani.
 Akikufuata anakutana na Wanaume kibao wanatoka humo kwa Shughuli jee hii imekaaje?


Mpenzi Msomaji wewe una Mawazo,Maoni,Ushauri Gani katika hili?


Karibuni sana Tuelimishane  Kwa Upendo!!!!