Showing posts with label Wanawake na Shughuli/Maendeleo. Show all posts
Showing posts with label Wanawake na Shughuli/Maendeleo. Show all posts
Monday 17 February 2014
Wednesday 12 June 2013
Coventry Women Gala ya Tarehe-08/06/2013[Sehemu ya 2]Mgeni Alikuwa Mama Balozi JOYCE KALLAGE!!!
Waungwana;Tunaendelea na Matukio ya Coventry Women Gala...Mama Balozi Joyce Kallage na Da'Rose Kiondo..Wakifurahi Pamoja..ni Raha tuu.. |
Da'Agness akikaribisha Wageni na kujitambulisha. |
Da'Halima akijitambulisha na kuwahakikishia watu Watashiba.. Hawa walisimamia Chakula na Kukaribisha Wageni. |
Da'Stella akijitambulisha ..Yeye alikuwa msimamizi mkuu. |
Da'Mija akijitambulisha..Yeye alisimamia Mitindo |
Da'Rachel akijitambulisha..Yeye alisimamia Burudani, ndiye aliyepamba Ukumbi na Mc.. |
DJ Richie Dee..Yeye ndiyo aliyetuburudisha[Muziki] |
Wanawake Oyeee!!!!Coventry Women Gala Oyeee!!!!!Waswahili Ughaibuni Juu!!!!!Wanawake na Maendeleo!!!!! |
Amesema amefurahi kuona tumeweza kurudia tena!! |
Dada;ROSE KIONDO,Kutoka Ubalozi wetu wa Tanzania hapa UK. |
Alicheza kwanza.. |
Alitumia vilivyo uwanja... |
Mc..mwenyewe hoii..usimchezee kabisa..Mada zake anazitunza vilivyo.. |
Da'SUSAN |
Umeona hiyo beji niliyo jibandika hapo? Hawa wanatengeneza keki,beji na mengine meengi..ni wadada wanaojituma..ni AHLAM NA KOIYA..Wape Kazi watoto wa Nyumbani.. Hongereni Sana |
Da'TINNA..Yeye ni mwimbaji mzuri sana sauti MUNGU amemjaalia..usisite kumpa kazi. Dada/Mtoto wa Nyumbani.ni burudani tosha sauti yake. |
Monday 10 June 2013
Coventry Women Gala ya Tar;08/06/2013-Mgeni;Mama Balozi Joyce Kallage;[Sehemu ya 1]!!!!
Waungwana;CoventryWomen Gala ya safarihii tulikuwa na Mama Balozi JOYCE KALLAGE.
Ameongelea nini Yeye pamoja na Wageni wengine?Usihofu nitakufahamisha..kwa leo Angalia Picha Kwanza.
[TEAM MAMA BALOZI]
Mama na Wanamitindo
Mama na Mbunifu wetu da'Mija na da'Halima[Maonyesho ya Mavazi yote ni kazi ya mikono ya Da'Mija!!]
Mama Balozi Joyce Kallage hayuko nyuma kwenye MITINDO!!!!!
Nasi tuliungana na wanamitindo kuonyesha Umoja....
Wanamitindo wakipoziiii..
Da'Rose Kiondo kutoka Ubalozini alikuwa na mengi ya kutuambia..nitakujulisha..
Wamama wa Coventry na mama Balozi Joyce
Asante sana mama yetu kwa Ukarimu na kuungana nasi....da'Stella alituwakilisha na kumkabidhi maua kama ishara ya Upendo wetu kwake..
Mitindo ni kazi ya Mbinifu wetu hapa Coventry..Mwanamke wa Shoka...Da'Mija!!!
Tulicheza saaaana..
Itaendelea.....
"Swahili Na Waswahili" Raha Tupu.
Subscribe to:
Posts (Atom)