![]() |
| Nani alikuambia Afrika si Wabunifu? |
Mimi ninawakumbuka watu wengi saana wengine wapo Hai na wengine washatangulia[Kufa].Wengine ninamawasiliano nao Wengine hata sijui wako wapi...Yote ni Maisha.......
Twende Sote sasaaa.......
"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.

ya kale ni dhahabu..ahsante kwa kutukumbusha..Jumapili njema sana KACHIKI pamoja na familia na pia wote wataopita hapa.
ReplyDelete