(Lifestyle)Jamii,Tamaduni ,Matukio,Maisha ya Waswahili. Wapendao Kiswahili/Waswahili,Marafiki wa Swahili na Waswahili, Na Mengineyo ya Karibu, Yahitajikayo Kujuzwa Waswahili.Karibuni sana!!!!!!!
Siku kama ya Leo,Familia ya Bibi na Bwana M.S.Kiwinga Walipata Mtoto wa kike na Wakamwita LEYLA. Naye ndiye Funga Dimba[Mtoto wa Mwisho] wa Familia hiyo. Da'Leyla Tunakutakia kila lililo Jema Maishani.MUNGU Azidi kukubariki na kukulinda kila iitwapo Leo.Akupe sawaswa na Mapenzi Yake,Uwe baraka kwa Watu Woote. Pamoja Sana. MUNGU NI PENDO
HONGERA KWA SIKU YAKO NA MWENYEZI MUNGU AKUZIDISHIE MIAKA MINGI.
ReplyDeleteMmmmh...Mbona mrembo hivyo?.. Itabidi nimtafute anipe siri ya urembo wake.
ReplyDeleteHongera kwa siku hii njema ya kuzaliwa.