Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Saturday 12 October 2013

Chaguo La Mswahili Leo;Sam Mangwana na Franco!!!!


Mmmmmhhh mambo ya kitambo kidogo...
Endelea kupata Burudani..
.



"Swahili Na Waswahili" Pamoja Sana.

Thursday 10 October 2013

Mtu Kwao; kaka Tonny Samaka-Ana Haya ya Kusema!!!!


   Maneno ya  kaka;Tonny Samaka

Boom fc,ashanti,sharif star,forever fc,god lion,pentagon,barcelona,mkunguni fc,fildaus fc,dizonga fc,santa maria nk,popote ulipowahi kusikia kati ya hizo timu zinacheza iwe tmk,kino nk,ujue watoto wa ilala WANAWAKILISHA NA USHINDI NJE NA NDANI,i love ILALA bana!team#ILALA.

Wewe unasemaje?

"Swahili Na Waswahili" Pamoja sana.


Wednesday 9 October 2013

Sunday 6 October 2013

Nimatumaini Yangu J'Pili inaendelea Vyema;Burudani-Ruach Team-Godwin Ombeni,Mwamba wenye Imara na...!!!!!

Wapendwa muendeele na J'Pili  hii Vjema,Muwe na Imani,Matumaini,Furaha na Ushindi.....

[31]Akawatolea mfano mwingine,akisema,Uflame wa Mbinguni umefanana na Punje  ya hadali, aliyoitwaa mtu akaipanda katika shamba lake;
[32]Nayo ni ndogo kuliko mbegu zote;lakini ikiisha kumea,huwa  kubwa kuliko mboga zote, ikawa mti,hata nyuni wa angani huja na kukaa katika matawi yake.
Neno La Leo;Mathayo Mtakatifu:13:24-35.






"Swahili Na Waswahili" Mbarikiwe Sana.

Tuesday 1 October 2013

Ya Kale Ni Dhahabu-Zilipendwa;Arusi!!!!!!

Binti P.. akienda kufunga Ndoa..
Bibi Na Bwana...
Watoto na Show..

Waungwana ya Kale ni Dhahabu..

Unaweza kutambua hii ni miaka gani?
Nini kimekuvutia/Bado Unakipenda na Nini umekumbuka kupitia Picha hizi?
Una Maoni/Ushauri gani kwa Arusi/Wanaofunga Ndoa sasa?

Kama una picha zako za zamani na unapenda kushiriki nasi,Tuma kupitia Email;rasca@hotmail.co.uk.

"Swahili NA Waswahili" Tunawatakia kila la kheri Wanandoa katika Maisha yenu Yoote.

Pamoja Daima.

Sunday 29 September 2013

Natumaini J'Pili ni Njema kwenu;Burudani,Bahati Bukuku-Barthimayo,Waraka wa Amani...!!

Wapendwa Muendelee kuwa na  J'Pili njema, Yenye Kutafakari,Amani,Upendo na Kujitolea kwa wenye Kuhitaji.

Kwa maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu.....

Neno La Leo;Mathayo Mtakatifu:20:1-16....Vivyo hivyo wa  mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.





"Swahili NA Waswahili" MUNGU awabariki Sana.

Saturday 28 September 2013

Chaguo La Mswahili Leo;-Baka Gdine!!!!!

Waungwana;Chaguo La Mswahili Leo si Wengine..Wanaitwa/kujiita.

Orchéstre Baka Gbin

Mmmmmhhh...hapa ni mwendo wa kusakata mpaka chiniii.. si maneno..
Iyeeeeehh mama eehh Iyeehhhh mama eehhh.........!!!!

mimi nimewapenda sana.. vipi wewe?
Endelea na Burudani.....

.






"Swahili Na Waswahili" Pamoja Sana