Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Monday 5 November 2012

VODACOM WAKISHIRIKIANA NA BUSINESS PARTNER WAKE FTS SERVICES LTD WAWAPELEKA WATEJA WAO KISIWA CHA MBUDYA KILICHO BAHARI YA HINDI.!!!!!


Hapa ndio Kisiwa cha Mbudya ambapo Vodacom imewapeleka wateja wake kwa ajili ya mapumziko ya week end jumamosi ya jana.
Wateja na wafanyakazi wa vodacom
Kushoto ni Steve Goyayi kutoka Stanbic Bank, wa tatu kutoka kushoto Asubisye Mwakatobe kutoka Vodacom na wengine ni baadhi ya wageni washiriki kutoka world Bank
Katikati ni Abdallah Singano kutoka Stanbic na kulia ni CEO wa MSD
Kutoka kushoto Steve Goyayi, Henry Kapinga na Abdallah Singano
Baadhi ya wafanyakazi kutoka Vodacom 
Kushoto ni Idd Mbita Mkurugenzi wa FTS Services akiwa na Joseph Kusaga CEO wa Clouds FM na TV mwenye Tshirt ya kijani.
Wateja na wafanyakazi wa vodacom wakishuka kwenye boti maalum iliyokodiwa kwa ajili yao.
Kulia ni Henry Kapinga meneja mauzo wa FTS Services ltd akipiga picha ya kumbukumbu na CEO wa Clouds Joseph Kusaga
Wadau kutoka Vodacom wakipata vinywaji ndani ya kisiwa cha Mbudya
Rosalynn kutoka vodacom akiwashukuru wateja kwa kushiriki
Idd Mbita kutoka FTS Services akiwashukuru wateja kwa kushiriki na kuwaomba tudumishe ushirikiano wetu.
Vodacom Tanzania wakishirikiana na Business Partner wake FTS Services jana waliwapeleka wateja wao katika Kisiwa cha Mbudya kilicho katika bahari ya Hindi.

Sunday 4 November 2012

Nawatakia J'Pili yenye Wema na Shukrani;Burudani-MUNGU MWAMBA by Beatrice Muhone na Nyingine nyingii!!!!!!

Wapendwa nawatakia J'Pili  yenye Upendo,Amani,Kweli,Kujitolea,Wema na Shukrani.
Basi Ndugu zangu,nawasihi, kwa huruma zake MUNGU,itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai,takatifu,ya kumpendeza MUNGU,ndiyo ibada yenu yenye maana.

Neno la Leo;
WARUMI;12:1-21.Wala msifuatishe namna ya dunia hii;bali mgeuzwe kwa kufanywa upya  nia zenu,mpate kujua hakika mapenzi ya MUNGU yaliyo mema,ya kumpendeza, na ukamilifu.

"Swahili NA Waswahili"
MUNGU yu mwema kwetu Soote.

Friday 2 November 2012

TRA MBEYA KUELEKEA SIKU YA MLIPA KODI WASAFISHA STAND KUU YA MABASI!!!!!!








Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania wakiongozwa na Meneja wa TRA Mkoa wa Mbeya, Anold Maimu wamefanya usafi maeneo ya Standi kuu ya mabasi mjini Mbeya  kuelekea kwenye kilele cha siku ya mlipa kodi.
Mtazamo wa Mamlaka hiyo ukiwa ni kuwa karibu na walipa kodi kwa kwa kutoa hudumia kwenye jamii na kuamsha moyo wa kujitolea katika huduma za kijamii na kukumbusha umuhimu wa uhiyari wa kulipa kodi bila shuruti!!!!

Habari na Picha kwa hisani ya Image Profession.

Thursday 1 November 2012

Wanawake Waswahili wa Coventry,U.K.[WWWCU]Wamtakia Kheri na Baraka da'Maggie[2]!!!!!!


wakimuingiza mpendwa wao








Tukicheza ngoma za Asili






Wakifatilia Matukio







Keki








Wamama/waalikwa







Chakula
Nasaha

Shangwe!!!!!!!!
Shukrani na MUNGU awabariki wooote mliofanikisha jambo  hili.