Waungwana; Wanawake na mitindo,"Ya Kale ni Dhahabu" Umemuona Mrembo wa zamani?nini Unakumbuka kupitia picha hizi na nini kimekuvutia?
Huo unywele wa kwenye picha ya juu sijui aliweka dawa gani,Zazuu,Alizichoma au........
Huo Unywele wa kwenye Picha ya chini hakuna Dawa hapo.
Unalolote unaweza kuongezea katika Picha hizi? Karibu sana.
"Swahili NA Waswahili" Pamoja Daima.


