da' Sandra na Rafiki yake da'Frida[Swahili ya Tz na Swahili ya Kenya] wakiwa Drayton Manor ndipo alipofanyia sherehe ndogo na Wanafunzi wenzie.
Monday, 16 July 2012
Da'Sandra-Neema Atimiza Miaka14!!!!!!!
da' Sandra na Rafiki yake da'Frida[Swahili ya Tz na Swahili ya Kenya] wakiwa Drayton Manor ndipo alipofanyia sherehe ndogo na Wanafunzi wenzie.
Unakata Logo/ Wapi utatengenezewa?Fuatana nami!!!!!!!
within three days, using the very best professional logo tools designer.
Logo nzuri ni moja ya njia muhimu na ya pekee kujitambulisha katika soko la bidhaa zako.
Logo ndio kielelezo cha kampuni yako, na ndio kioo cha kutambulisha bidhaa zako.
Logo ndio Alama pekee yenye nguvu, na ndio yenye kuzungumza na wateja wako kabla ya kuwasiliana au kukutana nao.
Basi ili uweze kuwavutia wateja wa bidhaa zako, yakupasa uwe na kielelezo kitakachosema kabla ya wewe kuzungumza.
Kitu icho si kingine ni ile alama ya utambulisho wa kipekee, aidha ni Logo au lebo za bidhaa zako. Ili uweze kufikia malengo yako ya kibiashara, unaweza kuwasiliana na 99graphix wabunifu wa aina mbali mbali za logo (Nembo).
99Graphix Design Email: 99graphix@gmail.com http://99graphixdesign.blogspot.com/
Ndiyo waliotengeneza hiyo "Swahili Na Waswhili" hapo juu.
Pamoja sana.
EXTRA BONGO NEXT LEVEL YAWAAGA WAPENZI NA WASHABIKI WAKE KWA SHOW KALI ILIYOSINDIKIZWA NA MATONYA, Q CHIF NA CHID BENZ NDANI YA UKUMBI WAO MPYA NEW WHITE HOUSE - KIMARA KOROGWE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkurugenzi wa Extra Bongo Ally Choki akiimba mbele ya mamia ya washabiki wake jana usiku ndani ya Ukumbi wa New White House Kimara Korogwe
Msanii wa kizazi kipya Bongo Fleva Matonya akiwarusha mashabiki wa Extra bongo usiku wa kuamkia leo ndani ya New white house Kimara Korogwe.
Q chif akiimba kwa hisia kali usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa New white house Kimara Korogwe katika show kali ya Extra bongo ya kuwaaga mashabiki wao, usiku wa leo wanaelekea Finland kwa mwaliko rasmi wa kwenda kufanya show kadhaa huko.
Chid Benz kama kawa akiwarusha mashabiki wake.
Matonya na Q Chif
Choki na Chid Benz
Ally Choki akimsikiliza kwa umakini mdhamini mkuu wa Bendi yake Chif Kiumbe, wakati wa show ya kuwaaga washabiki na wapenzi wao iliyofanyika ndani ya ukumbi wa New white house Kimara Korogwe
Sunday, 15 July 2012
Nawatakia J'Pili yenye Amani na Upendo;Burudani-Elisha Muliri!!!!!!!
Wapendwa nawatakia J'Pili njema.
Neno la Leo;Kitabu cha Pili cha Musa,Kiitwacho,KUTOKA;20:12-17.
Waheshimu baba yako na mama yako;Siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA,MUNGU wako.Endeleaa....
"Swahili NA Waswahili" MUNGU Atubariki Sote!!!!!
Saturday, 14 July 2012
Chaguo la Mswahili Leo-MATONYA feat LADY J.D - ANITA naNyingine Nyingii!!!!!
Waungwana Nimatumaini yangu woote Wazima.
Haya "Chaguo la Mswahili Leo" ni da'Judith[Lady Jayeed]
Vipi mwenzangu kuhusu dada huyu Amekipatia/Kujulia Kipaji chake?
Mimi huwa namkubali sana tuu kwa Muziki /Nyimbo zake.
Pia dada huyu anahusika na JIKONI, kwa hapo mimi siwezi semakitu kwani Sijawahi kufika"NYUMBANI LOUNGE" Na sijawahi Kuonja Mkono wake[Mapishi yake].
Lakini nasikia ni Moto wa kuotea Mbali.
Jee unalolote unaweza kutuambia kuhusu kazi za dada huyu?
wewe anakubamba/unapenda kazi zake?.
Ngoja Tusikie kutoka kwako tusimalize Uhondo.
"Swahili NA Waswahili" Twende Sotee sasa... Natamanii kuwa Malaikaaa natamakuwa kuwa mtotoooo kohkohkoh Kibanda[Kipaji] hiki cha Kuimba mwenzangu mmhhh hahahha nimekumbuka Nyumbani nikiimba watu woote walala chini kwa kicheko haahahah Oiiiiiiiiiiiiiii
ok nimekumbuka ngoja nilambe "chumvi" nitarudi tena
Friday, 13 July 2012
Biggest International African Festival Tubingen 2012!!!!
Africactiv Festival Tübingen <info@afrikafestival-tuebingen.de>
| ||
The Ngoma Africa Band
Subscribe to:
Comments (Atom)









