Monday, 29 March 2021

Jikoni Leo;Mboga 10 Za Kula na Ugali-3;Bamia/Mlenda




 Jikoni Leo;Mboga za Kula na Ugali 

3;Bamia/Mlenda 


;chukuchuku

;Bamia,Nyanyachungu...

;Chumvi

;Magadi/unga wa soda kama umekosa magadi..,

;Wakati mwingine huwa naweka majani ya maboga...


;Magadi Nimepewa na @eliadetor ๐Ÿ™๐Ÿฝ kutoka ;Tanzania (Nyumbani)

 Akileta ya kuuza nitawaambia 


Kuunga; 

Unaweza kuweka Nazi/Karanga (sijawahi kula hii nasikia)

Mimi nilichemsha tuu (chukuchuku)


:;Nimeziosha na maji 

;Nimezikata ndogondogo 

;Nikamchemsha kwa maji, 

;chumvi,magadi, na Nyanyachungu

Karibu na kuiva maji yamebaki kiasi nikaweka pilipili 


Hayaaaah kazi kwenu mnaweza kuongezea ujuzi nilipokosea 

;siyo mpenzi wa viungooo vingii kama unapenda wewe Rukhsa ๐Ÿ™๐Ÿฝ


Jikoni leo;Mboga 10 za kula na Ugali ๐Ÿ˜‹

:

:Ugali una mboga zake jee wewe 

 Unapenda mboga zipi kula na Ugali?


:Mimi nitaweka hapa ninazo Zipenda na zinazo patikana hapa tulipo ๐Ÿ˜Š


: ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kitchen today


#mboga10 

Jikoni Leo ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿพ‍๐Ÿณ 


:#chakula#kupika๐Ÿ‘ฉ๐Ÿพ‍๐Ÿณ๐Ÿฅ˜ 

:


:


#kitchentoday

#inmykitchentoday 

#jikonileo 

#mboga

#Ugali

#mapishi 

#mpishi 

#veggies 

#Bamia

#Mlenda

#hombo 

#cooking#food#foodie#foodblogger#tanzanianfood#tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #eastafrica#bbcfood#cnnfood๐Ÿ˜‹ 


#Coventry#UK#lifestyleblogger#vlogger#mswahili๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ#Rachelsiwa 

No comments:

Post a Comment