Wednesday, 24 March 2021

Jikoni Le;Mboga 10 Za Kula na Ugali-2;Samaki Mkavu/wakavu..


 Jikoni Leo;Mboga za Kula na Ugali 

2;Samaki Mkavu/wakavu 


;chukuchuku/Nazi


;Nimeunga kutumia;

Nyanya,situmii za kopo,na huwa simpenzi sana wa kuzisaga labda niwe na haraka sana,Namenya (kizamani๐Ÿคฃ)

;kitunguu maji-cheupe,


;Kitunguu swaum sijui thoum ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ

Tangawizi,hivi nanunua nakusaga nyumbani ๐Ÿค“(siyo lazima)

 

;karoti

;hoho za rangi zote

;chumvi/maggi

Ndimu/Limau

;Roiko/Simba mbili-siyo lazimaa 

;pilipili mbuzi natupia karibu na mwisho 

;Unaweza kuongezea; bamia,Nyanyachungu...


;Samaki Nililetewa zawadi ๐Ÿ™๐Ÿฝ kutoka ;Tanzania (Nyumbani)

 Akileta wa kuuza nitawaambia 


Kuunga; 

Unaweza kuweka Nazi 

Mimi nilichemsha tuu (chukuchuku)


:;Nimemuosha na maji ya moto

;Nikamchemsha kwa maji, chumvi/maggi,Ndimu/Limao..

Karibu na kuiva maji yamebaki kiasi nikaweka viungo vyote pamoja 

Vikaiva pamoja na@mchuzi ukabaki kiasi....


Hayaaaah kazi kwenu mnaweza kuongezea ujuzi nilipokosea 

;siyo mpenzi wa viungooo vingii kama unapenda wewe Rukhsa ๐Ÿ™๐Ÿฝ


Jikoni leo;Mboga 10 za kula na Ugali ๐Ÿ˜‹

:

:Ugali una mboga zake jee wewe 

 Unapenda mboga zipi kula na Ugali?


:Mimi nitaweka hapa ninazo Zipenda na zinazo patikana hapa tulipo ๐Ÿ˜Š


: ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kitchen today


#mboga10 

Jikoni Leo ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿพ‍๐Ÿณ 


:#chakula#kupika๐Ÿ‘ฉ๐Ÿพ‍๐Ÿณ๐Ÿฅ˜ 

:


:


#kitchentoday

#inmykitchentoday 

#jikonileo 

#mboga

#Ugali

#mapishi 

#mpishi 

#veggies

#fish

#samaki

#samakiwakavu 

#dryfish 

#cooking#food#foodie#foodblogger#tanzanianfood#tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #eastafrica#bbcfood#cnnfood๐Ÿ˜‹ 


#Coventry#UK#lifestyleblogger#vlogger#mswahili๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ#Rachelsiwa

No comments:

Post a Comment