Sunday, 12 April 2015

Tumalizie Jumapili hii Vyema;Burudani-Chidumule- furaha yangu,Mwansasu&Chidumule-Yesu Ni Bwana na Mwasongwe....


Wapendwa;Nawatakia kila lililo jema..Nawapenda wote

58Basi, ndugu zangu wapenzi, simameni imara na thabiti. Endeleeni daima kuwa na bidii katika kazi ya Bwana, mkijua kwamba kazi mnayofanya katika utumishi wa Bwana haitapotea bure.

Neno La Leo;Wakorintho:15:1-58

Ufufuo wa Kristo
Ufufuo wetu

Mwili wa ufufuo
Bible Society of Tanzania









"Swahili Na Waswahili"Mbarikiwe Sana.

2 comments:

  1. Naamini jumapili yako ilikuwa njema pia umetokezea Kachiki wa mimi. Ahsante kwa neno.

    ReplyDelete
  2. Asante sana Kadala wa mimi...ilikuwa njema kabisa Mungu yu mwema sana...

    ReplyDelete