

Wapendwa/Waungwana;Siku kama ya Leo Binti Yetu Mpendwa,Da'Tracey-Sarah,Alizaliwa.
Leo ametimiza miaka 13.Tunamshukuru sana MUNGU kwa Zawadi hii,Tunamtakia Masomo/Maisha Mema yenye Baraka,Amani,Upendo,Hekima.
Awe Baraka kwetu na Jamii pia.
Awe Kichwa na si Mkia.
MUNGU akumpe miaka mingi ,Akupe Maono/Njozi na Ukapate Kufanikisha Ndoto zako.
MUNGU azidi kumsimamia kila iitwapo Leo.
Mungu Ukawajaalie na wale wanaotafuta Watoto.
Shukrani kwa Wote Mnaoungana/Mlioungana/Mnaoendelea kuungana nasi Katika Malezi,MUNGU azidi kuwatendea kila lililo Jema.
Pia tunawatakia kheri na Baraka Watoto/Watu wote waliozaliwa siku kama ya leo.
Familia ya Isaac tunawapenda Wote na Asanteni kwa yoooote!!
"Swahili Na Waswahili" Pamoja Daima.




Sijachelewa naanini....hongra dada Tracey kwa siku yako. Pongezi kwa wazazi pia
ReplyDelete