Monday, 24 February 2014

Jikoni Leo;Jee Umeshawahi Kutumia Vitu Hivi?


Waungwana;"Jikoni Leo",Tukumbuke vifaa hivi vya kupikia na Kuhifadhia/Kuwekea Maji  ya Kunywa.
Mimi navijua kama Vyungu/Chungu na Mtungi.

Wewe unavijua kwa jina gani?
Jee Umewahi /Bado Unatumia?

Mtoto wangu Sandra Alipokuwa  mdogo alikuwa anaita Vyungu/Chungu.."KIMBONDO"

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Sana.

3 comments:

  1. Yaani KACHIKI...si unakumbuka chakula cha kupiga kwenye chungu kinavyokuwa kitamu..na Maji ya kwenye mtungi yanvyonoga..Nilipokuwa Matema Beach nilifika mpaka kule wanakotengeneza mitungu/vyungu na vyombo vinginge mbalimbali nikanunua mtungi natunzia maji ya kunywa..kinachokosekana ni KATA YA KUNYEA...AHSANTE KWA KUMBUKUMBU...

    ReplyDelete
  2. Kabisaa KADALA.....Jee Mitungi/Vyungu unavyo hapo au umeacha Ruhuwiko?

    Kama ndio Mtungi ulifika Salama?
    Aminia KADALA wa mimi...

    Kwa Kiongoni Vinaitwaje?

    ReplyDelete
  3. Usikonde KACHIKI nitakuwekea picha ninavyo hapa ..:-) NA NITAKUAMBIA KWA KINGONI TUNASEMAJE KAZA MOYO:-)

    ReplyDelete