Sunday, 14 April 2013

Nawatakia J'Pili Njema;Burudani-Mke mwema!!!!!




Wapendwa muwe na J'Pili Njema na Amani,Upendo,Fadhili,Shukrani,Baraka,Furaha...

Naye alipowaona makutano,alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi,Wanafunzi wake walimjia;

Neno La Leo Mathayo Mtakatifu:5:1-12.Heri masikini wa roho;Maana ufalme  wa Mbingunini wao.Endele.....


"Swahili NA Waswahili" Amani na Upendo.

6 comments: