w
Waungwana;"Jikoni Leo"..Tupo Ghana!!!!!!Unajua kupika FU FU wewee..kazi kwako..ukitaka Kujua Uhondo wa ngoma ......................
"Swahili Na Waswahili" Karibu Saaana.
Waungwana;"Jikoni Leo"..Tupo Ghana!!!!!!Unajua kupika FU FU wewee..kazi kwako..ukitaka Kujua Uhondo wa ngoma ......................
"Swahili Na Waswahili" Karibu Saaana.
Ama kweli kupata mlo kuna kazi ..inaonekana ni tamu ila utengezaji wako umenifanya sitajaribu maana mkono wangu utapondeka na kuwa fufu ..Sijawahi kula ila ningependa kujaribu ikiwa imeshaandaliwa:-)
ReplyDelete