(Lifestyle)Jamii,Tamaduni ,Matukio,Maisha ya Waswahili. Wapendao Kiswahili/Waswahili,Marafiki wa Swahili na Waswahili, Na Mengineyo ya Karibu, Yahitajikayo Kujuzwa Waswahili.Karibuni sana!!!!!!!
J´mosi iwe njema na furaha kwako pia familia. Mimi leo furaha yangu iko bustanini ndo nimeanza kulima leo, nitapanda figili kutoka njomb pia mabogo (nyamuza)na mchicha:-)
Da Mija asante sana kwa kunisaidia kutegua kitendawili maana Kachiki alikuwa anakong'oli nyanji zoti ... Kachiki naomba wimbo maalum kutoka Ubena "Vakinoma".
Toto la Iringa uko juu dadake..
ReplyDeleteUbarikiwe wewe na familia yako..
J´mosi iwe njema na furaha kwako pia familia. Mimi leo furaha yangu iko bustanini ndo nimeanza kulima leo, nitapanda figili kutoka njomb pia mabogo (nyamuza)na mchicha:-)
ReplyDeleteJumamosi njema kwako pia mwanakwetu,Hizo nyimbo zimenibamba leo.
ReplyDeleteDa Mija asante sana kwa kunisaidia kutegua kitendawili maana Kachiki alikuwa anakong'oli nyanji zoti ... Kachiki naomba wimbo maalum kutoka Ubena "Vakinoma".
ReplyDeleteWeekend njema kwa wote!
Hiyo picha yako DADA wa MIMI yani ni Mwaaaaaah!
ReplyDeleteAmeen Mwana Sayi, Tubarikiwe sote dadake!!!!
ReplyDelete@Da Yasinta hongera kwa kupata mbegu za Figiri na usisahau kumpatia da'Mija apande mimi nitawasaidia kuchuma!!!
@Mwanakwetu hahaah Zimekubamba eeh nimefurahi kama nimekugusa da'Edna.
@Mtani;hahahahahha chambua chambua tuu humu nilishaiweka hiyooo,Duuhh hiyo ikose tena? ngoja nitakuweke zaidi.
@KAKA wa MIMI SIMON wa KITURURU Asante sana!!!!!