(Lifestyle)Jamii,Tamaduni ,Matukio,Maisha ya Waswahili. Wapendao Kiswahili/Waswahili,Marafiki wa Swahili na Waswahili, Na Mengineyo ya Karibu, Yahitajikayo Kujuzwa Waswahili.Karibuni sana!!!!!!!
Kwa kweli inabidi tuawaambie watoto wetu hizi simu sio ndio iwe kila wakati na simu hata kumsikiliza mwalimu hakuna..Watoto hawasomi miaka hii ...ila si wote.
Kwa kweli inabidi tuawaambie watoto wetu hizi simu sio ndio iwe kila wakati na simu hata kumsikiliza mwalimu hakuna..Watoto hawasomi miaka hii ...ila si wote.
ReplyDeleteNi kweli kama mwalimu hana elimu atafundishaje?
Kabisa da'Yasinta,kila kitu kikizidi ni tabu!!!
ReplyDelete