Monday, 21 November 2011

Watoto na Mambo yao,Jee umepitia hayo?

2 comments:

  1. nimeupenda huo wimbo wa saa imefika kwenda nyumbani mama amepika ugali wa nyama...Yaani haswaaaa hapa ndo penyewe nimekumbuka mbali kweli halafu huyu binti mdogo ambaye anawazuia wenzake nadhani ni wewe da´Rachel..LOL

    ReplyDelete
  2. hahahhahahaaaa Da'Yasinta nanikuwa napenda mchezo kupita maelezo!!!!!wewe huyo anayeanzisha nyimbo haaha!

    ReplyDelete