Saa,Siku,Wiki,Miezi.Leo Tarehe 23/04/2011 Imetimia Miaka 17.Tangu ulipotutoka Tarehe 23/04/1994.Baba yetu Mpendwa Mzee M.S.KIWINGA.Ulituacha katika Majonzi/Huzuni na kukata tamaa ya maisha.Lakini Mungu ni muweza wa yote ametusaidia na kusimama tena.Tulikupenda lakini Mungu mwenyeezi alikupenda zaidi.Daima hatuwezi kukusahau kwa yote na mengi katika malezi yako.Utakumbukwa daima na Mke wako mpendwa,Watoto,Wajukuu,Ndugu,Jamaa,Marafiki na Majirani.
Shukurani za Dhati ziwaendee Wote walioshiriki nasi katika wakati ule mgumu.Tunaheshimu sana Michango,faraja zenu kwa wakati ule na hata sasa!Pia niwatakie kila la kheri na lililo jema kila siku.
Kwaniaba ya Familiya ya Mzee KIWINGA wa Ilala Sharifu/Shamba,Nasema asanteni sana wote na Tunawapenda.
Shukurani za Dhati ziwaendee Wote walioshiriki nasi katika wakati ule mgumu.Tunaheshimu sana Michango,faraja zenu kwa wakati ule na hata sasa!Pia niwatakie kila la kheri na lililo jema kila siku.
Kwaniaba ya Familiya ya Mzee KIWINGA wa Ilala Sharifu/Shamba,Nasema asanteni sana wote na Tunawapenda.

Pole sana Rachel, Mlimpenda lakini Mungu alimpenda zaidi, RIP Mzee Kiwinga
ReplyDeletePoleni sana, cha umuhimu ni kumuombea mzee wetu
ReplyDeletePole sana dada Rachel tumwombee ndio cha muhimu tupo pamoja ndugu yangu.
ReplyDeleteR.I.P Mzee M.S.KIWINGA!
ReplyDeletePumzika kwa amani mzee Kiwinga..
ReplyDeleteAsanteni sana Wapendwa wangu kwa kuwapamoja katika kumbukumbu hii Muhimu Maishani, Nanyi Mungu awabariki na kila la kheri!.
ReplyDeleteAmani iwe nanyi siku zote.
ReplyDeleteNever ever GIVE UP.
Amina kaka Nyabingi!
ReplyDelete