Huyu amejikunyata na hana furaha kabisa. Kuna kinacho Msibu Maishani!!!.
Huyu naye amejiinamia na rafiki wako pembeni,lakini haitaji maongezi nao.Kuna anachowaza!!!!!!!!
Hii ndiyo dunia yenye mengi Mazuri na Mabaya,yenye Kupendeza na Kuchukiza,yenye Raha na Karaha,yenye Hudhuni na Furaha,yenye Vicheko na Vilio,yenye Kupata na Kukosa, yenye Kutia moyo na Kuvunja moyo.!!!Mmmhhh!!Tunahitaji Upendo na Faraja. Wapendwa nini chanzo cha haya na mwishowake nini?..
Huyu naye amejiinamia na rafiki wako pembeni,lakini haitaji maongezi nao.Kuna anachowaza!!!!!!!!
Hii ndiyo dunia yenye mengi Mazuri na Mabaya,yenye Kupendeza na Kuchukiza,yenye Raha na Karaha,yenye Hudhuni na Furaha,yenye Vicheko na Vilio,yenye Kupata na Kukosa, yenye Kutia moyo na Kuvunja moyo.!!!Mmmhhh!!Tunahitaji Upendo na Faraja. Wapendwa nini chanzo cha haya na mwishowake nini?..


Nakunukuu``Hii ndiyo dunia yenye mengi Mazuri na Mabaya,yenye Kupendeza na Kuchukiza,yenye Raha na Karaha,yenye Hudhuni na Furaha,yenye Vicheko na Vilio,yenye Kupata na Kukosa, yenye Kutia moyo na Kuvunja moyo.!!!´´- mwisho wa nukuu.
ReplyDeleteHicho ulichoandika mie nakiita ndio ``MAISHA´´.
Kwa hiyo kama huamini MASWALA ya maisha baada ya KIFO,...
....jibu la ulichouliza ni,...
-chanzo chake ni kuwa HAI mwisho wake ni mtu anapofariki.:-(
Canzo chake ni maisha na mwisho wake ni kufa dadangu......
ReplyDeleteNakubaliana nanyi wapendwa! kweli maisha ni safari kila mtu akifika anashuka kwenye basi,wengine wanaendelea!.
ReplyDeleteMtoto aliyejikunyata amenigusa sana!
ReplyDeleteNakujua vyema kwa swala hili @kaka Chib najua nimekugusa!.
ReplyDelete