Tuesday, 7 December 2010

Watoto wanavutiwa na nini kwenyemuziki?

5 comments:

  1. Mimi nafikiri watoto kama wakubwa kinachowavutia KATIKA MZIKI ni sawasawa ,...

    ...ndio maana Wakubwa wengi ukiwauliza kwanini hata nyimbo nyingi wasizoelewa maana yake bado wanazipenda ,...
    ....KAMA WATOTO TU wanaweza kukosa jibu.

    ReplyDelete
  2. Mapigo,nyimbo ndo hapo wanapojifunza....Mija nimependa neno mirindimo...

    ReplyDelete
  3. WATOTO HUVUTIWA NA MNAVOCHEZA DANCING FLOOR.

    ReplyDelete
  4. hahhaa kaka Kitururu tukiupenda na maneno tunabadilisha kama, Nyumbani kuna pati ugari na chapati ohohooohh long time sijakula chipsi!!heheheheeee!@da Mija na da yasinta mirindimo na mapigo nayo inazingua!
    @mdau kumbe tukicheza nao wanaifunza eehh!
    Aksanteni sana wapendwa kwa ufafanuzi wenu!.

    ReplyDelete