Wapendwa;Ni matumaini yangu J'pili Inaendelea Vyema..BWANA wa majeshi asema hivi, ya kwamba,Watu hawa husema,Huu sio wakati utupasao kuja,huu sio wakati wa kujenga nyumba ya BWANA.
Neno La Leo;Hagai:1:1-11;[5]Basi sasa,BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.
Muwe na J'Pili ya Kumpendeza MUNGU na Kupendana wenyewe Upendo wa Kweli.
"Swahili NA Waswahili" Mbarikiwe Sana.
Nawe pia pamoja na familia yako.
ReplyDelete