Sunday, 5 May 2013

Tumalizie J'Pili Kwa Kuombeana/Kutiana Moyo;Burudani-MWAMBA WENYE IMARAA na Nyingine!!!!!

Wapendwa;Tumalizie J'Pili hii kwa kuwaombea, Wagonjwa,Wafiwa, Wenzetu  wa Arusha, Wenye shida na Tabu, TANZANIA,AFRIKA,DUNIA.
MUNGU apate kuwalinda,Kuwaponya,kutatua shida zao, Amani iwe juu yao.
Nanyi mkiwa katika kusali,msi payuke-payuke,kama watu wa mataifa;maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.

Neno La leo;Mathayo Mtakatifu:6:1-21.

"Swahili Na Waswahili" MUNGU atubari Sana.


2 comments: