Sunday, 12 May 2013

Muwe Na J'Pili yenye Furaha na Amani;Burudani-Enock Jonas - Wema wa Mungu,Living Water na.....!!!!!




Wapendwa Muwe na J'Pili yenye Furaha,Amani,Upendo,Neema,Utu wema na Upole Kiasi.....

Mwanangu,kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu [2]Hata ukatega sikio lako kusikia hekima, Ukauelekeza moyo wako upate kufahamu;....

Neno La Leo;Mithali 2:1-11;Busara itakulinda;Ufahamu utakuhifadhi.



"Swahili NA Waswahili"Rehema na kweli zisifarakane nawe.
                           Nawapenda Woote.

5 comments:

  1. Jumapili njema nawe pia familia...ahsabre kwa neno.

    ReplyDelete
  2. Jumapili njema na kwenu pia jamani wapendwa asante kwa nyimbo nzuri nimezungukaje yaani ni zunguka zunguka upendo wa Yesu umenizunguka
    ubarikiwe sana mpendwa

    ReplyDelete
  3. Pamoja KADALA wa mimi...

    @Mpendwa Anony..kama nakuona unavyozungukazunguka...Ameen...

    ReplyDelete
  4. Kwema mwanakwetu? ila umenoga kweli kweli

    ReplyDelete
  5. Sandee...Kwema mwanakwetu busy mingi tuu..ila kwa uwezo Inguluvi twajinoma tuu!!!

    Umepote Segi wangu...

    ReplyDelete