Wednesday, 16 January 2013

Siku Kama Ya Leo Kaka Simon kitururu Alizaliwa!!!!

Kitururu na Utaifa..
Kitururu utotoni na wazazi..
Mtoto  Max ....ni Zawadi Kubwa kwake..... kitururu 
Kitururru..Baba Max na Ulezi..
Kitururu Mawazoni...Ametulia......

Kitururu na Mapishi....
Simon wa Kitururu Mitaani...


Waungwana;Siku kama ya Leo,Kaka Simon Kitururu,Babake Max....Muzee wa Yeah...kaka Kadoda.......duuhh Majina mengine atakuja kumalizia kaka  Ihayabuyaga Chacha O' Wambura.

Tunakutakia kila la kheri na Baraka Maishani mwako.Uwe na Wakati Mzuri Leo na Siku zote!!!!!

Swali La Kizushi...Unamfahamu /Kufikiri  ni Mtu wa Aina Gani  kaka Simon Kitururu? 

kujua zaidi kuhusu kaka huyu ingia;http://simon-kitururu.blogspot.co.uk/


"Swahili NA Waswahili" Pamoja Sana.

2 comments: