Thursday, 31 January 2013

Jikoni Leo,Shaba,Soda Mtungini na.....!!!!!!


    Kitu cha Shaba..Pilau..haswaa hii la Shughulini.....


Soda za kwenye Mtungi...nimezipata hukooo Ruhuwiko....

  Kitu Chipsi na Nyama Choma/kuku..... hapa Diet hakuna...

Waungwana;Jikoni Leo..Mambo kama hayo....
mimi sina meengi..zaidi  nasubiri kutoka kwako ..

Umeshawahi  Kula shaba/Pilau.Chakula cha Shughulini?...Nini ubaya wake na Nini Uzuri wake?

Karibuni sana kwa Maoni/Ushauli na Kuelimishana kwa upendo.

"Swahili NA Waswahili" Pamoja Saaana.

2 comments:

  1. Huu sasa ni uchokozi kabisa..vipi kachiki hakuna ugali na matembele au kisamvu leo?..Na maji je? maana naona kuna soda tu:-)

    ReplyDelete
  2. Kadala shaka ondoa kabisa hapa kila kitu..maji ya mtungini,Matembele,Kisamvu,Dagaa,Mrenda,Ugali wa Muhogo na.............

    ReplyDelete