Monday, 4 June 2012

Mambo ya Igatanzania!!Ungana nami kujua zaidi!!!!!!

Haya Waungwana mambo ya Igatanzania hayo!!!
Niwauzaji wa T-shirt,Jezi,Kanga,Vitenge,Viatu vya shanga,Bangili,Makembe na vitu vyooote vya urembo kutoka nyumbani Tanzania.

 Pia ni Wapishi wa vitafunwa/Vitafunio,Vyakula vyooote ujuavyo vya kiswahili.
Pata kitu Roho inapenda na waswahili wa "Igatanzania"

Wapo Coventry u.k.

kwa mawasiliano zaidi piga namba hii.07730008921.

KARIBUNI SANA WAUNGWANA.

4 comments:

  1. Ahsante kwa kutokuwa mchoyo napenda watu ambao wanaushirikiano wa aina hii. ukitili chabwina sana mlongo .

    ReplyDelete
  2. Asante ndugu wa mimi@Emu wa 3!!!

    ReplyDelete