(Lifestyle)Jamii,Tamaduni ,Matukio,Maisha ya Waswahili. Wapendao Kiswahili/Waswahili,Marafiki wa Swahili na Waswahili, Na Mengineyo ya Karibu, Yahitajikayo Kujuzwa Waswahili.Karibuni sana!!!!!!!
Kaka Ebon`s hakika swahili na waswahili leo kaamua kutuletea kali ..Ahsante kachiki:-) maana nimeungana nao si unanijua nikisikia ngoma/mziki tu basi:-)
swahili hii ya leo kali duh!!!
ReplyDeleteKaka Ebon`s hakika swahili na waswahili leo kaamua kutuletea kali ..Ahsante kachiki:-) maana nimeungana nao si unanijua nikisikia ngoma/mziki tu basi:-)
ReplyDeletehahahahhaaha'"Swahili Mwenza" kaka Ebou's Mkwe huyo mimi kama Shangazi nimeshampenda.
ReplyDelete@Kadala hahahhahha sipati picha ulivyocheza.........
Wako Kachiki!!!!!
:-)
ReplyDeletemmmmhhhh ... ngoja nisitie neno maana ni mambo mazito!
ReplyDeleteHahahaaa hiyo ni kiduku style
ReplyDeleteSasa kaka wa mimi mbona hivyo?
ReplyDelete@Mtani ya Kachiki Ongea tu hahaha!!
@Mwanakwetu umeona Kiduku ya nguvu!!