Monday, 19 December 2011

Mtoto huyu Auwawa!!!!!!!

Habari hii inasikitisha sana,Pole sana wazazi/walezi , ndugu,jamaa na marafiki, kwa Msiba huu mzito kweni,Mungu awape Nguvu na Uvumilivu katika wakati huu mgumu kwenu.
               Habari na picha zaidi utazipata kwa MASHUGHULI BLOG.Ahsante.

4 comments:

  1. Human beings are OVER RATED...Siye twaweza kuwa wanyama hatari kabisa kuliko wanyama wengine wote....

    RIP malaika wa Mungu usiye na kosa. Mungu Akupe pumziko jema....
    ============>

    Nilikuwa napita hapa kusema kwamba sasa nimerudi tena rasmi. Tupo pamoja !!!

    http://matondo.blogspot.com/2011/12/wanablogu-wenzangu-na-wapenzi-wote-wa.html

    ReplyDelete
  2. Kwa kweli inasikitisha sana watu kweli tu-wakatili . Malaika kama huyu jamani pole sana wazazi, ndugu na jamaa wote.

    ReplyDelete
  3. duh kweli kibongo bongo kiboko mungu awanusuru watoto wetu bongo

    ReplyDelete
  4. Inasikitisha, Mungu atulindie watoto wetu kwa kweli.

    ReplyDelete